King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mimi sio mwanasheria but kama fao linasema ulete barua ya kuachishwa kazi
ili upewe na ndugu yako alipeleka hiyo barua basi kafukuzwa kwa forgery
Ni kweli ameniambia amefanya magumashi hayo,Ila concern yake kwanini afukuzwe wakati fedha ni zake? kwani mtu si anaweza akaterminate contract halafu akasign nyingine kwanini softnet/nssf wasichukulie kwa minajili Hiyo maana fedha ni zake.
Kama ali foji barua ya kuachishwa kazi hawezi saidika, ila swali lingene la kujiuliza nani kapeleka izo information kazini kwake,
Anadai Mifuko imestukia kwamba watu wanachukua fedha kimagumashi hivyo ukipeleka barua ya kuacha kazi mifuko inakuja direct ofisini kwako kuuliza alichokosea amasema hr alikuwa hajui so nssf wakailazimisha ofisi imchukulie hatua.
Ishu sio fedha zake au la
ishu ni kuwa hulipwi mafao bila kupeleka barua ya muajiri
na kama muajiri hakukupa na wewe uka forge yako
muajiri amemfukuza kwa kosa la kufanya forgery na sio kuchukua fedha
Mimi si mwanasheria ila kama alipeleka barua ya kuacha kazi NSSF basi hapo hakuna msaada wowote ukizingatia akienda mble zaidi yeye ana makosa ya kugushi; kwanza, baru ya kuacha kazi, pili, hati/sahihi ya mwajiri wake pamoja na muhuri ya ofisi anayofanya kazi
Ni kweli ameniambia amefanya magumashi hayo,Ila concern yake kwanini afukuzwe wakati fedha ni zake? kwani mtu si anaweza akaterminate contract halafu akasign nyingine kwanini softnet/nssf wasichukulie kwa minajili Hiyo maana fedha ni zake.
Ni mwizi ameiba signature na mihuri ya kampuni.Ni kweli ameniambia amefanya magumashi hayo,Ila concern yake kwanini afukuzwe wakati fedha ni zake? kwani mtu si anaweza akaterminate contract halafu akasign nyingine kwanini softnet/nssf wasichukulie kwa minajili Hiyo maana fedha ni zake.
Ni kweli ameniambia amefanya magumashi hayo,Ila concern yake kwanini afukuzwe wakati fedha ni zake? kwani mtu si anaweza akaterminate contract halafu akasign nyingine kwanini softnet/nssf wasichukulie kwa minajili Hiyo maana fedha ni zake.