Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
Chanzo tumekijua kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti flani...sasa huyo binti akamuachaIli kumsaidia ni lazima kujua chanzo cha hiyo depression
Kama chanzo ni mapenzi,Chanzo tumekijua kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti flani...sasa huyo binti akamuacha
Asante. Huyu ndugu yangu hajiamini, ( amekuwa na law self esteem)Akitaka kupona aamue kumpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha na kuamua kuishi maisha safi ya kiroho; kama hawezi aamue kujipenda mwenyewe na mazingira na watu wanaomzunguka watu wanaomkosoa aachane nao kabisa huku akiendelea kukaa na watu wanaomkubali na akiendela kujiaminisha moyoni yeye yupo vizuri kwenye kila kitu huku akiangalia zaidi strength zake kuliko weaknes
Kama hajaamua kumove on itakuwaje sasa maana amekuwa kama amechanganyikiwaKama chanzo ni mapenzi,
Huyo hakuna tiba kwake, wala usijisumbue, hata apikiwe chakula anachopenda na mama yake mzazi, hazinduki!!!. Ila usiwe na wasiwasi, atapona tu. Mpeni muda wa mwezi mmoja au mwezi na nusu akae na kujitafakari kwa utulivu bila kumkera kera hovyo (mkimkera na kumsumbua sana mnamuongezea mawazo, na anaweza kufanya maamuzi mabaya zaidi).
Hua inatokea kwa sisi wanaume, katika hatua fulani ya maisha, pindi unapotokea kukamatwa maskio na mwanamke, hufurukuti wala huruki kwake, halafu akakuacha kwa ghafla/bila sababu maalum, ila baada ya muda yanasahaulika na maisha kuendelea mbele. Athari hua inakua kubwa kama HAUNA AJIRA ya kukufanya uwe bussy.
ILAAAAAA, kawaida mtu kama huyo akipona huo msongo wa mawazo ya mapenzi na kurudi katika hali yake ya kawaida, hua wanajiwekea KIAPO MAALUM cha kuwanyoosha wanawake, wanawake hua wanatikiwa wajiandae na wafunge mkanda kwa wanaume kama hao (mtaani kwenu watamkoma). Atakua kama jasusi lenye ROHO ya chuma, ni kuwapanga mstari na kugegeda halafu kusepa, NO LOVE STORY kwake. (Imeshanitokea mimi binafsi na rafiki yangu hio hali).
kwanza tambua chanzo cha ugonjwa huo pili jaribu kukaa nae na kumdadisi pia mtembeze sehemu ambazo anaweza kufurahi na mengineoHabar za mchana wakuu
Ndugu yangu ( me) amepata msongo wa mawazo na tumejaribu kumsaidia kisaikolojia, alipata nafuu kwa muda, ila hali imejirudia tena.
Mbinu gani nitakazotumia aweze kujirudi katika hali yake ya kawaida.
hili tatizo limerudi leo ni siku ya tatu anakuwa mnyonge sana hajiamini na anapenda kukaa peke yake. Kabla ya ugonjwa alikuwa hana tabia ya kujitenga hivi.
Naombeni msaada wa kimawazo wakuu
AsanteMnatakiwa asikilize nyimbo za kumliwaza kadri muda unavyoenda atapona hasa za wanaolalamika kutendwa na wapenzi wao. Msimruhusu kukaa peke yake sana mumuengage ili upweke wake upungue.
mkubwa mzima ww mpaka mtu akawe na msongo wa mawazo bado huyo no mtoto? sometimes unatakiwa kujiongezaAna umri gani? Wakati fulani hupaswi kushauri kuzidi uelewa wa mtu. Kwakuwa simfahamu, umri wake unaweza ukanipa picha ya yeye ni mtu wa aina gani na ni ushauri gani utamfaa
Namna anavyo himili msongo wa mawazo mtu wa miaka 10's ni tofauti na 30's na pia ni tofauti na 40's. Na ndio maana hutakaa usikie mzee wa miaka 60 amejinyonga kisa kaachwa na mke au kimada.mkubwa mzima ww mpaka mtu akawe na msongo wa mawazo bado huyo no mtoto? sometimes unatakiwa kujiongeza
mtu wa miaka 10 hawez kuwa na msongo wa mawazo wa kimapenz hata siku mojaNamna anavyo himili msongo wa mawazo mtu wa miaka 10's ni tofauti na 30's na pia ni tofauti na 40's. Na ndio maana hutakaa usikie mzee wa miaka 60 amejinyonga kisa kaachwa na mke au kimada.
Umeelewa maana ya 10's lakini?mtu wa miaka 10 hawez kuwa na msongo wa mawazo wa kimapenz hata siku moja
Chanzo tumekijua kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti flani...sasa huyo binti akamuacha
Ana umri miaka 23 bado ni kijana mdogoAna umri gani? Wakati fulani hupaswi kushauri kuzidi uelewa wa mtu. Kwakuwa simfahamu, umri wake unaweza ukanipa picha ya yeye ni mtu wa aina gani na ni ushauri gani utamfaa
Nitamsaidia vipi ili aweze kujiongeza?mkubwa mzima ww mpaka mtu akawe na msongo wa mawazo bado huyo no mtoto? sometimes unatakiwa kujiongeza