Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ni mgonjwa huyo, Mpeleke Kimara KKKT kwa mapacha apate maombezi mapepo yote yatatimkia baharini.
Document inayotambuliwa na taasisi yoyote ni ripoti ya daktari(ED). Ama kwa tiba mbadala,Mbanikie ulimi wa kitimoto ukauke vizuri paka chumvi kiasi kisha mpe ale. Atapona.
angekuwa mgonjwa angeenda hospitali angepewa ED, je huko KKKT wanatoa document gani kuonyesha kuwa jamaa ni mgonjwa
Hapo kazi ipo.sidhani kama bosi wake ataamini kuwa ana mapepo.mpeleke job atleast amuone
kweli hizi sasa ni siku za mwisho
Ndugu yangu anasumbuliwa na mapepo wachafu wenye kuongea kiarabu kitupu, tangu Ijumaa anaongea makorokocho.
Je ninapoenda kumuombea ruhusa ofisini nipeleke kithibitisho gani?
Mfukize kwa majani ya kitunguusomu na mavi ya Tembo na na mavi ya punda siku hiyo anapozungumza lugha hiyo ya kiarabu kama kweli anayo mashetani wachafu watamkimbia hawata kuja tena kumleteaNdugu yangu anasumbuliwa na mapepo wachafu wenye kuongea kiarabu kitupu, tangu Ijumaa anaongea makorokocho.
Je ninapoenda kumuombea ruhusa ofisini nipeleke kithibitisho gani?
Hiyo ndio supporting document ya kupeleka ofisini kwake kuonyesha kwamba hajaenda kazini kwa kuwa ana mapepo?Mfukize kwa majani ya kitunguusomu na mavi ya Tembo na na mavi ya punda siku hiyo anapozungumza lugha hiyo ya kiarabu kama kweli anayo mashetani wachafu watamkimbia hawata kuja tena kumletea matatizo wakati unamfukiza avae shuka nyeupe huku unamuombea kwa jina la Mwenyeezi mungu yamtoke hayo mapepo wanayomsumbuwa wakati unapomfukiza useme maneno haya ( Ewe pepo uliyekuwepo ndani ya taja jina lake (fulani bin fulani) ninakuondosha utoke ukimbilie baharini kwa jina la Mwenyeezi Mungu mmoja toka haraka) Sema mara 3 usikae mbele yake wakati unapomfukiza asije kukuvamia wewe kisha umfukize asubuhi na usiku kwa muda wa siku 3 yatamkimbia mwilini hayata rudi tena hayo mapepo yaliyomkumba.
Ni Tiba sio supporting document upo na mimi mkuu?Hiyo ndio supporting document ya kupeleka ofisini kwake kuonyesha kwamba hajaenda kazini kwa kuwa ana mapepo?