Ndugu yangu ana minyoo ambayo haiponi tusaidie

Ndugu yangu ana minyoo ambayo haiponi tusaidie

Halfcaste

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
972
Reaction score
215
Ndugu yangu ana minyoo ya Trichiura (Roundworms), anawashwa mkunduni anajikuna sana. Amepoteza weight. Ametumia kila aina ya dawa zisizokuwa na idadi kutoka kila nchi no relief. Madaktari wa Tanzania hawana msaada kwake. Ni zaidi ya mwaka sasa .Za mitishamba ndo kabisaa. Je, afanyeje msaada tafadhari.
 
Back
Top Bottom