Ndugu yangu ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika

Ndugu yangu ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika

Miss un

Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
11
Reaction score
6
Habari,

Madaktari na wakuu wa jukwaa hili nina ndugu yangu (22), kaolewa 2016 August ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika, alibeba ujauzito kufikia miezi minne ukaharibika,akabeba tena miezi kadhaa hivyohivyo.

Lakini huu wa mwisho ulifikisha hadi miezi 9 ya kujifungua, lakini kajifungua mtoto mfu(kwamba kafa kabla hajajifungua) hiyo ikiwa ni mwaka jana october then kwa sasa hapati kabisa menstruation period.

Ameenda hospitali kapimwa ,hormorne, cancer, kizazi, mayai, kakutwa yuko normal, nauliza ndugu zangu wajuzi wa haya mambo,kwamba nn kinaweza kuwa chanzo cha tatizo au suluhisho lake ni nini?

Je kuna matumaini?

Natanguliza shukrani kwa michango yenu.
 
Hilo tatizo kitaalamu hiitwa "Recurrent Miscarriage/Habitual Abortulion/Recurrent Pregnancy Loss-RPL" na ili mtu aweze kuwa termed kuwa ana hili tatizo angalau lime limemtokea mara tatu na kuendelea.

Chanzo cha tatizo hili mara nyingi hakijulikani ingawa kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha RPL ila kwa asilimia 50-75 ya cases za RPL tatizo huwa halijulikani.

Baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha RPL.

1. Anatomical Conditions - umbo (structure) ya uterus kushindwa kubeba kiumbe mpaka kufikia hatua ya mwisho ya kuzaliwa.

Zipo aina tofauti za uterina structure na zinatofautiana katika rate ya kutokea kwa RPL.. Nitazitaja tu: Bicornate Uterus, Septate or Unicornate, Arcuate, Didelphhys na Fibroids.

2. Cervical Conditions (Matatizo ya shingo ya uzazi)
3. Chromosomal Conditions (Genetic Problems)
4. Thrombophilia (Inherited blood-clotting disorder)
5. Bacterial Vaginosis (Vaginal Infections)
6. Hormonic Problems
7. Life Style

Suluhisho

Unashauri wa kufanya blood test wewe na wenza wako ili kucheck any genetic disorder (chromosomal disorder/abnormalities).

Pia kufika kwa wataalamu wa afya za akina mama na watoto kipindi cha mwanzo cha ujauzito ili kuweza kuangalia kama kuna conditions zozote ambazo sio za kawaida kwa kufanya ultrasound na vipimo vingine.

Matumaini mazuri ni kuwa kama umefanya vipimo na hujaonekana kuwa na tatizo lolote basi bado una uwezo wa ku concieve na kuzaa mtoto mwenye afya kama wengine.
 
Hilo tatizo kitaalamu hiitwa "Recurrent Miscarriage/Habitual Abortulion/Recurrent Pregnancy Loss-RPL" na ili mtu aweze kuwa termed kuwa ana hili tatizo angalau lime limemtokea mara tatu na kuendelea.

Chanzo cha tatizo hili mara nyingi hakijulikani ingawa kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha RPL ila kwa asilimia 50-75 ya cases za RPL tatizo huwa halijulikani.

Baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha RPL.

1. Anatomical Conditions - umbo (structure) ya uterus kushindwa kubeba kiumbe mpaka kufikia hatua ya mwisho ya kuzaliwa.

Zipo aina tofauti za uterina structure na zinatofautiana katika rate ya kutokea kwa RPL.. Nitazitaja tu: Bicornate Uterus, Septate or Unicornate, Arcuate, Didelphhys na Fibroids.

2. Cervical Conditions (Matatizo ya shingo ya uzazi)
3. Chromosomal Conditions (Genetic Problems)
4. Thrombophilia (Inherited blood-clotting disorder)
5. Bacterial Vaginosis (Vaginal Infections)
6. Hormonic Problems
7. Life Style

Suluhisho

Unashauri wa kufanya blood test wewe na wenza wako ili kucheck any genetic disorder (chromosomal disorder/abnormalities).

Pia kufika kwa wataalamu wa afya za akina mama na watoto kipindi cha mwanzo cha ujauzito ili kuweza kuangalia kama kuna conditions zozote ambazo sio za kawaida kwa kufanya ultrasound na vipimo vingine.

Matumaini mazuri ni kuwa kama umefanya vipimo na hujaonekana kuwa na tatizo lolote basi bado una uwezo wa ku concieve na kuzaa mtoto mwenye afya kama wengine.
Nashukuru sana mkuu
 
Wakati huo huo akazane na maombi kutegemeana na imani yake!
Wengine husababishwa na nguvu za giza yaani uchawi!
Tena waweza kuta ndugu wa karibu kabisa !
Wengine si wema hata!
Umri wake bado mdogo ili mradi asibweteke atafanikiwa tu!
Ila Hilo la Kukosa mp ndo sasa anyway Mungu ni Mkuu atamponya na kumfungua!
 
Wakati huo huo akazane na maombi kutegemeana na imani yake!
Wengine husababishwa na nguvu za giza yaani uchawi!
Tena waweza kuta ndugu wa karibu kabisa !
Wengine si wema hata!
Umri wake bado mdogo ili mradi asibweteke atafanikiwa tu!
Ila Hilo la Kukosa mp ndo sasa anyway Mungu ni Mkuu atamponya na kumfungua!
Asanthe sana
 
kuna mmoja aliwahi kuwa na kesi kama hii kumbe ishu ilikuwa mambo ya ushirikina. Tusianzie huko japo kumshirikisha Mungu ni jambo jema.
Kwa sasa aanze na swala la periods kwanza hili kwa miaka hii sio tatizo ni vile tu watu huwa hawajibidishi kuonana na madaktari wanaamini sana ushauri wa mitaani na ndio hapo wanaharibu.
Pia apumzike, asihangaike na mimba kwa sasa angalau mwaka mzima upite.

Pia ingekuwa vyema kujua uzito wa mwili wa huyo mhusika, ajitahidi awe kwenye uzito wa kawaida, apime na magonjwa mengine kama kisukari.
 
Wakati huo huo akazane na maombi kutegemeana na imani yake!
Wengine husababishwa na nguvu za giza yaani uchawi!
Tena waweza kuta ndugu wa karibu kabisa !
Wengine si wema hata!
Umri wake bado mdogo ili mradi asibweteke atafanikiwa tu!
Ila Hilo la Kukosa mp ndo sasa anyway Mungu ni Mkuu atamponya na kumfungua!
Kwa upande wangu naona kwenye jamii wewe ni moja ya vyanzo chonganishi....
 
Hilo tatizo kitaalamu hiitwa "Recurrent Miscarriage/Habitual Abortulion/Recurrent Pregnancy Loss-RPL" na ili mtu aweze kuwa termed kuwa ana hili tatizo angalau lime limemtokea mara tatu na kuendelea.

Chanzo cha tatizo hili mara nyingi hakijulikani ingawa kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha RPL ila kwa asilimia 50-75 ya cases za RPL tatizo huwa halijulikani.

Baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha RPL.

1. Anatomical Conditions - umbo (structure) ya uterus kushindwa kubeba kiumbe mpaka kufikia hatua ya mwisho ya kuzaliwa.

Zipo aina tofauti za uterina structure na zinatofautiana katika rate ya kutokea kwa RPL.. Nitazitaja tu: Bicornate Uterus, Septate or Unicornate, Arcuate, Didelphhys na Fibroids.

2. Cervical Conditions (Matatizo ya shingo ya uzazi)
3. Chromosomal Conditions (Genetic Problems)
4. Thrombophilia (Inherited blood-clotting disorder)
5. Bacterial Vaginosis (Vaginal Infections)
6. Hormonic Problems
7. Life Style

Suluhisho

Unashauri wa kufanya blood test wewe na wenza wako ili kucheck any genetic disorder (chromosomal disorder/abnormalities).

Pia kufika kwa wataalamu wa afya za akina mama na watoto kipindi cha mwanzo cha ujauzito ili kuweza kuangalia kama kuna conditions zozote ambazo sio za kawaida kwa kufanya ultrasound na vipimo vingine.

Matumaini mazuri ni kuwa kama umefanya vipimo na hujaonekana kuwa na tatizo lolote basi bado una uwezo wa ku concieve na kuzaa mtoto mwenye afya kama wengine.
Bonge la shule
 
Back
Top Bottom