Ndugu yangu kapewa Mimba na Ndoa imeyeyuka bwana kakimbia

Ndugu yangu kapewa Mimba na Ndoa imeyeyuka bwana kakimbia

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
10,892
Reaction score
3,112
Mi huwa nawapaga visa ambavyo vimetokea either kwangu kwa familia yangu ili mjifunze

Mkiambiwa kunapoelekea mtakuja kukuta wanawake kumi wanabembeleza mwanaume mmoja awaowe wala msikatae ndio uhalisia kwa sasa waowaji wameshayeyuka

Huyu ni Dada yangu mtoto wa shangazi yangu aliyenilea tokea mdogo so tumekuwa wote namuona kama dada wa Damu kabisa, ni binti ambae kalelewa kwenye mazingira ya kiheshima na kidini pia na uzuri familia aliyotokea pesa ipo na yeye kwa sasa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa zinazolipa vizuri sijataka kuisema kuepusha mengi

Sasa mwezi wa 6 mwaka jana akaleta taarifa za kupata mchumba basi ,Tukawakaribisha wakwe waje wajitambulishe na kuskiliza taratibu za mahari ili wakirudi tena iwe ni mahari vikao vianze chap maswala ya Ndoa jambo liishe

Siku wakwe wanakuja Tukaandaa sherehe utasema ndio ndoa yaani tuliwakaribisha kifalme hadi wakashangaa sababu sisi tunaona Binti kuolewa cha kwanza ni heshima na ni bahati na katika vitu ambavyo familia yetu inavipiga vita ni mabinti zetu kuzalishwa nyumbani au kuwa single mother yaani tunaonaga aibu ndio maana tukiskia mwnaamke kapata mwenza tunasema jambo la heri

Wakwe wakaja na yule kijana muowaji wakajitambulisha baada ya kuskiliza taratibu za mahari basi wakapokea utaratibu baada ya hapo wakasema watarudi kukamilisha ili Ndoa ifungwe mapema tukasema heri

Kumbe bwana nyuma ya pazia wakati Wakwe wanakuja binti tayari alikuwa mjamzito wa miezi miwili kimya kimya na hakuishirikisha familia na kama unavyojua mimba changa kuishtukia si rahisi kwa mtu mzima so kumbe Dada ndio alilazimisha yule jamaa aje ajitambulishe alipe mahari waowane chap chap kabla ya aibu haijawa kubwa.

Baada ya kupita mwezi kuona kimya ikabidi tuwaulize wakwe mbona kimya hawajarudi kumbe wazee wa watu hawana.shida shida tukaja kuigundua kwa kijana ni Marioo yaani Mishen town kila kitu anamtegemea mama yake na jamaa hakuwa muowaji mean alikuwa na sister kimaslahi vijana walamba lipsi

Basi tukawaambia huku kumbe binti ni mjamzito basi njooni hata kama.mahari haipo njooni tukae wafunge ndoa tu show tutaisimamia sisi kama ni nyumba ya kuishi kila kitu tutawajengea na huyo kijana tutamuwezesha cha muhim hatukaki aibu ya binti kuzalia nyumbani au kuitwa single mother tunaona aibu

Pamoja na kutoa hiyo ofa kijana kaingia mitini

Now mmeona hata mwanamke ukiwa na hela au kwenu mambo safi bado waowaji hakuna,
 
Zamani watu walioa kwa sababu ilikuwa ngumu kupata baadhi ya vitu.
Siku hizi watu hawaoi kwa sababu vitu unavyopata ndoani unaweza kuvipata kwa chipsi kavu tu.

Wanawake wakibana, wanaume wataoa tu.
 
Waoaji wapo, watu wanaoana kwa speed ya kutosha tu. Watoa huduma za sherehe za harusi wapo busy si haba. Wenye kipato kiduchu nao wanaoana Kila uchwao. Chunguza vizuri sakata la binamu ( ((cousin))) ipo namna yao iliyokwamisha mipango yao.......
 
Waowaji wapo sana shida ya mabinti/au wanaume wanakuwa na vigezo ambavyo havina msaada kwenye ndoa.
Imagine mtu na akili zako unadate na marioo na yuko pale kwa ajili pesa zako unategemea nini?kwa nini uolewe na mwanaume asiyethamini uanaume wake,irresponsible man?
Vigezo,Mwanaume awe tall mweusi alafu handsome utapigwa na kitu kizito.Punguzeni kuwa selective sana
 
Mi huwa nawapaga visa ambavyo vimetokea either kwangu kwa familia yangu ili mjifunze

Mkiambiwa kunapoelekea mtakuja kukuta wanawake kumi wanabembeleza mwanaume mmoja awaowe wala msikatae ndio uhalisia kwa sasa waowaji wameshayeyuka

Huyu ni Dada yangu mtoto wa shangazi yangu aliyenilea tokea mdogo so tumekuwa wote namuona kama dada wa Damu kabisa, ni binti ambae kalelewa kwenye mazingira ya kiheshima na kidini pia na uzuri familia aliyotokea pesa ipo na yeye kwa sasa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa zinazolipa vizuri sijataka kuisema kuepusha mengi

Sasa mwezi wa 6 mwaka jana akaleta taarifa za kupata mchumba basi ,Tukawakaribisha wakwe waje wajitambulishe na kuskiliza taratibu za mahari ili wakirudi tena iwe ni mahari vikao vianze chap maswala ya Ndoa jambo liishe

Siku wakwe wanakuja Tukaandaa sherehe utasema ndio ndoa yaani tuliwakaribisha kifalme hadi wakashangaa sababu sisi tunaona Binti kuolewa cha kwanza ni heshima na ni bahati na katika vitu ambavyo familia yetu inavipiga vita ni mabinti zetu kuzalishwa nyumbani au kuwa single mother yaani tunaonaga aibu ndio maana tukiskia mwnaamke kapata mwenza tunasema jambo la heri

Wakwe wakaja na yule kijana muowaji wakajitambulisha baada ya kuskiliza taratibu za mahari basi wakapokea utaratibu baada ya hapo wakasema watarudi kukamilisha ili Ndoa ifungwe mapema tukasema heri

Kumbe bwana nyuma ya pazia wakati Wakwe wanakuja binti tayari alikuwa mjamzito wa miezi miwili kimya kimya na hakuishirikisha familia na kama unavyojua mimba changa kuishtukia si rahisi kwa mtu mzima so kumbe Dada ndio alilazimisha yule jamaa aje ajitambulishe alipe mahari waowane chap chap kabla ya aibu haijawa kubwa.

Baada ya kupita mwezi kuona kimya ikabidi tuwaulize wakwe mbona kimya hawajarudi kumbe wazee wa watu hawana.shida shida tukaja kuigundua kwa kijana ni Marioo yaani Mishen town kila kitu anamtegemea mama yake na jamaa hakuwa muowaji mean alikuwa na sister kimaslahi vijana walamba lipsi

Basi tukawaambia huku kumbe binti ni mjamzito basi njooni hata kama.mahari haipo njooni tukae wafunge ndoa tu show tutaisimamia sisi kama ni nyumba ya kuishi kila kitu tutawajengea na huyo kijana tutamuwezesha cha muhim hatukaki aibu ya binti kuzalia nyumbani au kuitwa single mother tunaona aibu

Pamoja na kutoa hiyo ofa kijana kaingia mitini

Now mmeona hata mwanamke ukiwa na hela au kwenu mambo safi bado waowaji hakuna,
Screenshot_20250208_141106_Google.jpg
 
Nukuu
“kumbe Dada ndio alilazimisha yule jamaa aje ajitambulishe”


“hata kama.mahari haipo njooni tukae wafunge ndoa tu show tutaisimamia sisi kama ni nyumba ya kuishi kila kitu tutawajengea na huyo kijana tutamuwezesha”

“Pamoja na kutoa hiyo ofa kijana kaingia mitini”

Maoni yangu
Ukisoma vizuri utagundua shida ya huyo shemeji yako sio umarioo pekee unaomsumbua sababu ingekua umarioo ange accept hizo offer mlizompatia (si ndio vitu hao vijana wa ovyo wanapenda) shida yake ni either hakuwa interested na dada yako (hakumpenda kiasi cha kumfanya mke) pili, wenda dada yako ana matatizo hapa naongelea tabia mbaya (hii wewe huwezi kuiona)

Ivi Mwanamke anaejitambua vizuri hasa dunia ya sasa iliyojaa elimu ya uzazi anaruhusu vipi kubeba ujauzito kabla ya ndoa (kama kuolewa ni moja ya hitaji lake la msingi)

Shemeji yako na dada yako wote wanamatatizo, ila kuzaa na mtu sio factor ya kuolewa na huyo mtu cha msingi ajipange upya akiamini atampata mtu sahihi kwake na atamuoa akijikatia tamaa tu ameisha atakua single mama mwandamizi.
 
Waowaji wapo sana shida ya mabinti/au wanaume wanakuwa na vigezo ambavyo havina msaada kwenye ndoa.
Imagine mtu na akili zako unadate na marioo na yuko pale kwa ajili pesa zako unategemea nini?kwa nini uolewe na mwanaume asiyethamini uanaume wake,irresponsible man?
Vigezo,Mwanaume awe tall mweusi alafu handsome utapigwa na kitu kizito.Punguzeni kuwa selective sana
Hata mm nlikua nawaza kama wewe, ila haya mambo magumu sana, sasa binti akiolewa na mwanaume ambae hampendi kwa kigezo huyo mwanaume ni husband material huoni kua atajitesa, hata kwa sisi wanaume uoe mdada asiekuvutia, kisa ni wife material, hata kumtambulisha unaona aibu, we haya mambo Yana ugumu Niwaheri
 
Waowaji wapo sana shida ya mabinti/au wanaume wanakuwa na vigezo ambavyo havina msaada kwenye ndoa.
Imagine mtu na akili zako unadate na marioo na yuko pale kwa ajili pesa zako unategemea nini?kwa nini uolewe na mwanaume asiyethamini uanaume wake,irresponsible man?
Vigezo,Mwanaume awe tall mweusi alafu handsome utapigwa na kitu kizito.Punguzeni kuwa selective sana
Kweli wewe niwaheri umeeleza fact kabisa
 
Waowaji wapo sana shida ya mabinti/au wanaume wanakuwa na vigezo ambavyo havina msaada kwenye ndoa.
Imagine mtu na akili zako unadate na marioo na yuko pale kwa ajili pesa zako unategemea nini?kwa nini uolewe na mwanaume asiyethamini uanaume wake,irresponsible man?
Vigezo,Mwanaume awe tall mweusi alafu handsome utapigwa na kitu kizito.Punguzeni kuwa selective sana
Kweli wewe niwaheri umeeleza fact kabisa
 
Sijawahi kusema hili neno lakini leo inabidi tu
"chai"
 
Hata mm nlikua nawaza kama wewe, ila haya mambo magumu sana, sasa binti akiolewa na mwanaume ambae hampendi kwa kigezo huyo mwanaume ni husband material huoni kua atajitesa, hata kwa sisi wanaume uoe mdada asiekuvutia, kisa ni wife material, hata kumtambulisha unaona aibu, we haya mambo Yana ugumu Niwaheri
Mi kwangu naangalia mtu anayenipenda na kama ngapi kwa ngapi anajitahidi basi.
 
Back
Top Bottom