Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa

Roger Ramer

Member
Joined
Feb 4, 2017
Posts
34
Reaction score
15
Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa, akaulizia kwenye maduka ya madawa asili akaambiwa dawa yake itakuwepo ila akaulizie jina la hiyo dawa kwa wataalam wa dawa za asili. Kama kuna mtu anajua jina la hiyo dawa ya kurudisha Kitovu ndani naomba anitajie.
 
Kitovu kikubwa sio tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…