DOKEZO Ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika

DOKEZO Ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
MALALAMIKO KUTOKA FAMILIA YA MAREHEMU WOLFGANG M.TURUKA.

Tangu tarehe 14/9/2020 ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika kusiko julikana.

Ofisi ya RPC Ruvuma walifungua jalada la uchunguzi tangu tar. 28/2/2024 mpaka leo wamekaa kimya na hatujui hatima ya ndugu yetu.

Kinachosikitisha zaidi ni kutopata ushirikiano na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye barua yetu tulimwandikia kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ila sasa hata simu zetu hapokei.

Tunaiomba Serikali ambayo inajukumu la kulinda uhai wa watu wake, kupitia ngazi na vyombo vinavyohusika akiwemo Mh. Waziri Mkuu, Mbunge pamoja na Mh. Waziri wa Mambo ya Ndani, kwamba sisi familia tunataka kumpata ndugu yetu; tunaomba wamrudishe akiwa hai au maiti yake, na familia tupate haki ya kumzika ndugu yetu.

Tunaziomba asasi na vyombo huru vya habari vitusaidie kupaza sauti ili ndugu yetu Tito Wolfgang Turuka apatikane."

Screenshot_20240620_164510_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20240620_164543_Samsung Notes.jpg
 
MALALAMIKO KUTOKA FAMILIA YA MAREHEMU WOLFGANG M.TURUKA.

Tangu tarehe 14/9/2020 ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika kusiko julikana.

Ofisi ya RPC Ruvuma walifungua jalada la uchunguzi tangu tar. 28/2/2024 mpaka leo wamekaa kimya na hatujui hatima ya ndugu yetu.

Kinachosikitisha zaidi ni kutopata ushirikiano na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye barua yetu tulimwandikia kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ila sasa hata simu zetu hapokei.

Tunaiomba Serikali ambayo inajukumu la kulinda uhai wa watu wake, kupitia ngazi na vyombo vinavyohusika akiwemo Mh. Waziri Mkuu, Mbunge pamoja na Mh. Waziri wa Mambo ya Ndani, kwamba sisi familia tunataka kumpata ndugu yetu; tunaomba wamrudishe akiwa hai au maiti yake, na familia tupate haki ya kumzika ndugu yetu.

Tunaziomba asasi na vyombo huru vya habari vitusaidie kupaza sauti ili ndugu yetu Tito Wolfgang Turuka apatikane."

View attachment 3021512View attachment 3021513
Amepote September 2020 na nyie mumefungua faili Polisi Februari 2024 takribani miaka 3 na miezi 7 toka amepotea.

Kwanini mlikaa kimya kipindi chote hicho bila kufungua faili?
 
Kwa kuwa taarifa hii imefika Jamhuri ya JF, lazima haki itapatikana. Viva JF.
 
MALALAMIKO KUTOKA FAMILIA YA MAREHEMU WOLFGANG M.TURUKA.

Tangu tarehe 14/9/2020 ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika kusiko julikana.

Ofisi ya RPC Ruvuma walifungua jalada la uchunguzi tangu tar. 28/2/2024 mpaka leo wamekaa kimya na hatujui hatima ya ndugu yetu.

Kinachosikitisha zaidi ni kutopata ushirikiano na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye barua yetu tulimwandikia kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ila sasa hata simu zetu hapokei.

Tunaiomba Serikali ambayo inajukumu la kulinda uhai wa watu wake, kupitia ngazi na vyombo vinavyohusika akiwemo Mh. Waziri Mkuu, Mbunge pamoja na Mh. Waziri wa Mambo ya Ndani, kwamba sisi familia tunataka kumpata ndugu yetu; tunaomba wamrudishe akiwa hai au maiti yake, na familia tupate haki ya kumzika ndugu yetu.

Tunaziomba asasi na vyombo huru vya habari vitusaidie kupaza sauti ili ndugu yetu Tito Wolfgang Turuka apatikane."

View attachment 3021512View attachment 3021513
Ofisi ya RPC harakisheni uchunguzi, familia inataka kujua ndugu yao Tito alipo.
 
Aiseee poleni sana, japo mlichelewa kutoa hii barua japo kuwa kama jinai ipo haina muda wa kuisha.

Poleni sana wana mbinga, ni jana tuu nilitaka kutembelea huko.
 
Watanzania ni moja ya Taifa la watu wenye roho mbaya sana kupita maelezo ila tunajificha kwenye migongo ya Dini yaani swala la kuua ni kawaida tu juzi tu hapa mtoa neno nae kaua mtoto si laana hiyo Nchi...
 
Back
Top Bottom