Ndugu zangu Chadema Jeshi la Polisi halina siasa, Niffer na Diva wana siku ya pili leo wako lock up, mngekuwa nyie mko Lock Up hadi leo kelele kibao

Ndugu zangu Chadema Jeshi la Polisi halina siasa, Niffer na Diva wana siku ya pili leo wako lock up, mngekuwa nyie mko Lock Up hadi leo kelele kibao

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Kuwekwa lockup mwenzio ndio unakuja na uzi? Imagine kama wewe, mimi nimekuweka lockup halafu mimi nalala ktk kiyoyozi na familia yangu huku wewe unaliwa na mbu utaleta uzi kama huu baada ya kutoka wa kuponda chadema kwa sababu tu sio mwanasiasa nimekuweka lupango?
 
Nafahamu wame declare simu zao, police na kiasi walichochangisha in hard cash, sioni shida yao kwanini waendelee kubaki ndani...!, serekali ingewaacha wachangishe mpaka mwisho and then, wawakamate na kuona kilichochangwa kimefika kwenye target?, ukizingatia tcra wanauwezo wa kuiona kila shilingi moja!, hapa tungepata (intent) yao na kuwafunga kama wezi wengine!
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Wewe na hao manjagu wote mafala, nani asiyejua kuwa jeshi la Polisi linatumika kisiasa kwa kuisadia CCM katika maovu yao yote ikiwepo wizi wa kura
 
Kuwekwa lockup mwenzio ndio unakuja na uzi? Imagine kama wewe, mimi nimekuweka lockup halafu mimi nalala ktk kiyoyozi na familia yangu huku wewe unaliwa na mbu utaleta uzi kama huu baada ya kutoka wa kuponda chadema kwa sababu tu sio mwanasiasa nimekuweka lupango?
Huyo jamaa ana roho mbaya inayofanana na ID yake.
 
Kwahio wewe unaona ni sawa kutumia hizo nguvu na Kodi zetu kuwatia hao (nguvu kazi) ndani kwa siku mbili (Bila kuwashitaki wala kuwapeleka mahakamani) wakati waliosababisha huo Uzembe bado hawaongelewi ?

Yaani nguvu nyingi zinatumika kwenye after effects kuliko kuwa pro active ambapo kungezuia hata hayo maafa kutokea...
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Pumbafu kabisa ndo uwezo wako wa kufikiri huu
 
Sheikh wa Diva ana dawa kali sana, hapo kampulizia Diva ilo aingie chaka kisa kamuacha
 
Kwahio wewe unaona ni sawa kutumia hizo nguvu na Kodi zetu kuwatia hao (nguvu kazi) ndani kwa siku mbili (Bila kuwashitaki wala kuwapeleka mahakamani) wakati waliosababisha huo Uzembe bado hawaongelewi ?

Yaani nguvu nyingi zinatumika kwenye after effects kuliko kuwa pro active ambapo kungezuia hata hayo maafa kutokea...
Aliyesababisha tatizo ni kada wa CCM yupo salama sn
 
Angekuwa yule wa ikungu ungesikia ndugu dhaanguuu wamenichukuaaa (kwa sauti ya lisu!)
 
Kwahio wewe unaona ni sawa kutumia hizo nguvu na Kodi zetu kuwatia hao (nguvu kazi) ndani kwa siku mbili (Bila kuwashitaki wala kuwapeleka mahakamani) wakati waliosababisha huo Uzembe bado hawaongelewi ?

Yaani nguvu nyingi zinatumika kwenye after effects kuliko kuwa pro active ambapo kungezuia hata hayo maafa kutokea...
Akili za aina hii haziwezi kuwa na tija popote..source ya tatizo lililotokea kariakoo ni hali ya kutojali uwepo wa sheria au utaratibu uliowekwa kulinda uhai wa watu..hawa wadada wanafanya kile kile..kuamua kufanya jambo (kukusanya michango) bila kujali uwepo wa sheria au utaratibu unaotoa maelekezo ya unachotaka kufanya kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wengine! Kuna tatizo kubwa kwa nchi la watu kutojali uwepo wa sheria au utaratibu wa kufuatwa kabla hujafanya unachotaka..pengine adhabu ya viboko ingesaidia kulazimisha wajinga kukumbuka kufuata sheria au utaratibu uliowekwa..huyu analaumu watu waliokamatwa kwa ujinga ule ule uliosababisha tatizo la kariakoo, waachiwe..elimu ya tanzania s a total failure case!
 
Nafahamu wame declare simu zao, police na kiasi walichochangisha in hard cash, sioni shida yao kwanini waendelee kubaki ndani...!, serekali ingewaacha wachangishe mpaka mwisho and then, wawakamate na kuona kilichochangwa kimefika kwenye target?, ukizingatia tcra wanauwezo wa kuiona kila shilingi moja!, hapa tungepata (intent) yao na kuwafunga kama wezi wengine!
Polisi wanakamata kwa amri ya waziri mkuu, na rais. Halafu wanasema hawatumiki kisiasa. Na hawata waachia mpaka aliyewaambia wawakamate aseme waachieni, bila kujali kosa linadhamana au la.
Kwanini walazwe lumande kama wameshatoa maelezo yao, na pesa wamesha zitoa?
 
Back
Top Bottom