Ndugu zangu kuna nini kinaendelea?

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
4,766
Reaction score
16,191
Kwa kawaida nikiingia google huwa naweza kujua nini kinatrend Tanzania kwa sababu ya ile algorithm yao ya google autocomplete , nilikuwa nataka kusoma habari za raisi wetu lakini sijaelewa kipi kinachoendelea, hivi nini kinaendelea?
 
Mkuu hata wewe hatukuelewi unachokusudia kinachoendele
 
Futa thread njoo PM wewe nikutumie SI ndio unachotaka
 
Mkuu hata wewe hatukuelewi unachokusudia kinachoendele
Hapana mkuu nimefahamu kinachoendelea, Huwa sio kawaida auto complete kuandika mama j, sasa nikawa najiuliza mama j wa yanga kunani tena?
 
Nashukuruni sana kuna msamaria mwema amekuja pm amenisaidia kinachoendelea, aisee kuna wanawake mafundi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…