100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Mkuu kuna nini kwani?Mkuu, unaishi kwenye caves?
Mkuu hata wewe hatukuelewi unachokusudia kinachoendeleKwa kawaida nikiingia google huwa naweza kujua nini kinatrend Tanzania kwa sababu ya ile algorithm yao ya google autocomplete , nilikuwa nataka kusoma habari za raisi wetu lakini sijaelewa kipi kinachoendelea, hivi nini kinaendelea?
View attachment 1918322
Noma kusemaMkuu kuna nini kwani?
Futa thread njoo PM wewe nikutumie SI ndio unachotakaKwa kawaida nikiingia google huwa naweza kujua nini kinatrend Tanzania kwa sababu ya ile algorithm yao ya google autocomplete , nilikuwa nataka kusoma habari za raisi wetu lakini sijaelewa kipi kinachoendelea, hivi nini kinaendelea?
View attachment 1918322
Mkuu nisome pmFuta thread njoo PM wewe nikutumie SI ndio unachotaka
Kibanda maitiMkuu, unaishi kwenye caves?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu, unaishi kwenye caves?
Aisee!!! kuna mambo ya ajabu sanaUmekosa connection??
Hapana mkuu nimefahamu kinachoendelea, Huwa sio kawaida auto complete kuandika mama j, sasa nikawa najiuliza mama j wa yanga kunani tena?Mkuu hata wewe hatukuelewi unachokusudia kinachoendele