Ndugu zangu, Mbowe mnamuonea tu. Nani asiyejua utamu wa madaraka?

Ndugu zangu, Mbowe mnamuonea tu. Nani asiyejua utamu wa madaraka?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Ni kweli hilo jimama lenu sijui mshangazi wenu unawaua wazee wa watu kwa kuwashusha kwenye magari mchana kweupe na kusema kifo ni kifo unadhani ni kwanini? Utamu wa madaraka yaani jimama linasikia utamu kinoma yani.
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Naunga mkono hoja,
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Iko vile bandugu !
Ndio maana sisi tuliosomea Cuba 🇨🇺 tulishayajuaga hayo tukaamua kuwa Nyutro na kusimama na Mama Tanzania 🇹🇿 🙌👍🇹🇿
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Kwa hiyo mbowe ni KUPE? Tena ni kupe king'ang'anizi
 
GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Mbowe watu tuliambiwa siku nyingi kuwa ni tapeli lakini hatukukubali. Jamaa ni mbaya kuliko hata Magufuli. Halafu ana elements za kutaka madaraka kwa njia yoyote. Huyu huenda hata kuua anaweza kuua ili tu mambo yake yaende.
 
And that uncertainty is catalyzed by people, information, and disaster

People, (normal and smart people)
Disaster,(created by God and that of human)
Information, misinterpretation of Information will cause uncertainty
Correct ! 👍
 
Wajumbe CHADEMA mpigeni chini Mbowe apumzike kwa aibu. Mbowe ni pandikizi la maccm ameshalambishwa asali. Mbowe, Mseveni, CCM na Kagame wote ni adui wa demokrasia na mabadiliko ya kweli. Kichwa ya Mbowe inanuka rushwa
 
It was a matter of time tu. Mbowe ana mentality za akina Lipumba, Cheyo, Dovutwa, Mzee wa Ubwabwa, the late Lyatonga Mrema etc

Wote wana kitu kimoja in common: MAPANDIKIZI ya Mfumo

It is now obvious. Nadhani wana CHADEMA sasa wameanza kuona hii kitu
 
Ni raha iliyoje kuona kundi kubwa la watu likikulamba na kukunyenyekea? Hata Lissu mwenyewe anajua kuwa moto aliouwasha siyo wa kitoto ni ngumu sana kuuzima kimasihara. Wapo waliojaribu wapo wapi sasa?

Yaani kirahisi tu Mbowe amkabidhi kijiti Lissu? Thubutu, kuwa chairman wa chama kikuu cha upinzani kuna mema mengi unakula bhana, utajiri nje nje.

Kwa sisi ambao tuliwahi kupata japo ukiranja tulipokuwa shule tunajua raha ya uongozi, acheni masikhara nyie, uongozi mtamu.

Yule mwamba pale juu ataongoza mpaka anakufa labda amwachie mtoto wake, kwenye sanduku la kura tutadanganyana. Hata watawala wanampenda, anawasikiliza.
Lakini hizi ni fikra mbaya. Alipaswa atawale miaka kumi, awe ameshatengeneza team mpya inayomsikiliza na kumuheshimu. Akikohoa tu anaitikiwa ndiyo mzee.
 
Back
Top Bottom