Upo butiama mtaa gani. .?Habari wakuu
Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani
Naomba mwenye nafasi anisaidie,umri wangu miaka 32 napatikana Butiama mkoani Mara.
Kaka acha kuhangaika chukua kadi ya ccm, anza kupiga makofi kila jambo la chama.Habari wakuu
Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani
Naomba mwenye nafasi anisaidie,umri wangu miaka 32 napatikana Butiama mkoani Mara.
Hizo kozi wanasoma watoto wa viongozi. Wewe nani alikudanganya?Habari wakuu
Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani
Naomba mwenye nafasi anisaidie,umri wangu miaka 32 napatikana Butiama mkoani Mara.
Sawa sawa mkuu si kuna madini hapo Buhemba ingia mgodini mkuuMang'atika
Ok ngja nikirudi ntakuchek maana kwa sasa nmetoka nmeacha vijana goliniNaweza kaka
Changamkia mkuuNaweza kaka
Ww wa logistics ungejitahd kujitutumua kidogo kuomba private sector , has construction mbona chap tu, hujataka tu, labda kuajiriwa. Eacop , sgr na mirad ming ya kimkakati mbona fasta tu au upo abroad.?Tunafanana kuanzia Mwaka wa kumaliza Chuo mpaka Ujobless. Japo Mim nimehitim Logistics and Transport Management pale NIT. Kila lakheri kwako naamin sasa utapata Kazi
Tutorial AssistantKitu gani kaka?