As-salaam ndugu zangu wa jf.
Naamini wote wazima wa afya,mimi huku mzima,hofu kwenu muliombali nami.
Madhumuni ya barua hii ni kuwafahamisha mnamo siku ya jumatatu,tarehe 6 jan 2012 tutaanza rasmi mitihani ya kumaliza semester 1 au UE.Nachukua fursa hii kuwaomba ndugu zangu muniombea DUAH kwa M/MUNGU anifanyie wepesi na ku-avoid SUPU+DISCO za chuoni/MZUMBE.
Wako Mtiifu,
Mr.mzumbe.
Ahsante