Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Nimepotezana nae mwaka 2015,
Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini.
Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto.
Wakati napotezana nae alikuwa na watoto wawili wa kiume.
Mmoja alikuwa akiitwa RUBEN alikuwa na kama miaka 4 na mwengine nimemsahau kwa jina.
Kabila lake ni Mgogo popote alipo mumwambie kaka ako UWESU anakutafuta.
Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini.
Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto.
Wakati napotezana nae alikuwa na watoto wawili wa kiume.
Mmoja alikuwa akiitwa RUBEN alikuwa na kama miaka 4 na mwengine nimemsahau kwa jina.
Kabila lake ni Mgogo popote alipo mumwambie kaka ako UWESU anakutafuta.