Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Umemsearch Facebook?Nimepotezana nae mwaka 2015,.
Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini.
Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto.
Wakati napotezana nae alikuwa na watoto wawili wakiume
Mmoja alikuwa akiitwa RUBEN alikuwa na kama miaka 4 na mwengine nimemsahau kwa jina.
Kabila lake ni mgogo popote alipo mumwambie kaka ako UWESU anakutafuta.
Ndio nimemkosaUmemsearch Facebook?
Ndiyo wale waliokuwa wanaishi nyumba yenye mlango na madirisha?Bombii hii,nyumbi hiii?Pembeni kuna kokliikooo?Nimepotezana nae mwaka 2015,.
Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini.
Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto.
Wakati napotezana nae alikuwa na watoto wawili wakiume
Mmoja alikuwa akiitwa RUBEN alikuwa na kama miaka 4 na mwengine nimemsahau kwa jina.
Kabila lake ni mgogo popote alipo mumwambie kaka ako UWESU anakutafuta.
Explain more details alikuwa anaishi wapi na kama shule kasoma wapi na kabila ni mgogo wa sehemu gani?Ndio nimemkosa
Kwao ni darExplain more details alikuwa anaishi wapi na kama shule kasoma wapi na kabila ni mgogo wa sehemu gani?
ππ€£π€£π€£ππEx ....wako si useme tu awesu
......
AhahaaaaaaEndelea na mazoez hapo Kairo...suala lako tunamalizana na viongoz wa KMC