Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Nina maswali huwa najiulizaga sana
Inamana hizi banks zetu hanina security ya kutosha? Hasa kwenye kulinda account za wateja wasiwe hacked na wataalamu wa mitandao?
Kwa mfano, imetokea umedondosha wallet yako ina ATM card ndani, na mtu akaiokota akaenda kuifanyia maujanja na kuingia kwenye mtandao wa benki na kuchota hela.
Au hawa wataalamu wa cyber attack wakiwa na account number yako na kwenda kuhack kwenye mtandao wa benki husika na kuchota hela za kutosha.
Au akatokea mjanja akaingia kwenye system ya benki na kuhamisha fedha toka account moja kwenda nyingine?
Maswali:
Kuna sheria ya kumlinda mteja ambae ameibiwa fedha zake hasa bila kujijua? Wana utaratibu gani hasa kwenye kufanya refund? Au kuna utaratibu gani?
Inamana hizi banks zetu hanina security ya kutosha? Hasa kwenye kulinda account za wateja wasiwe hacked na wataalamu wa mitandao?
Kwa mfano, imetokea umedondosha wallet yako ina ATM card ndani, na mtu akaiokota akaenda kuifanyia maujanja na kuingia kwenye mtandao wa benki na kuchota hela.
Au hawa wataalamu wa cyber attack wakiwa na account number yako na kwenda kuhack kwenye mtandao wa benki husika na kuchota hela za kutosha.
Au akatokea mjanja akaingia kwenye system ya benki na kuhamisha fedha toka account moja kwenda nyingine?
Maswali:
Kuna sheria ya kumlinda mteja ambae ameibiwa fedha zake hasa bila kujijua? Wana utaratibu gani hasa kwenye kufanya refund? Au kuna utaratibu gani?