mke si amesema huyo hawala yake 'hasimamishi'?Mimba sio yako ni ya Msela kama uko tyr kulea furesh wee Lea tu .
Sema inauma sana.
Makanya Mdogo.
Mtoto awe au wako sio wako timua hiyo muke yako fasta.Kuna mambo ambayo nikisikia najiuliza hivi mtu huyu kaumbwa na roho gani?
3. Sawa vyovyote mtakavyonifikiria lkn kwann nimekaa nae hichi kipindi chote kwaajili kumuachanisha na biashara zangu ambazo yeye alikuwa akizisimamia kuniathili mimi au biashara ambapo kwa kiasi fulan nimeanza kufanikiwa mara nyingi nakuwa kazini hapa Halimashauri ya Jiji.
Natoa shukrani za dhati kwenu wote mlioacha kazi zenu na kunishauri.
Asante!!
umesema mkeo hakufanikiwa kupata ujauzito adi mkaenda kwa DKT flani na kuwapa dawa? ndo ujifunze kuwa matatizo mengine mtatuaji ni MUNGU na sio mwanadamu huyo dkt ndie aliye mlala nakumpa ujauzito.
kwahiyo alitaka mimba ya hawara asie na kazi ili mtoto aleleww na mwenye kazi?iUkisoma vizuri kuna mahali waliambiwa waanze kukutana tar 1-5 Sept, sasa wife zile tarehe zilipofika alimpelekea kipochi manyoya mchepuko wake ili yeye ndiye atie hiyo mimba, kwa hiyo alivyorudi ndo akawa na mimba tayari.
Kaka usiwasikilize hawa jamaa qanaokushauri kumuacha mkeo,mkeo ni wako na msameheane,ongea nae akuwlwze sababu za kuchepuka ili uzitatue na muendelee na maisha yenuWenye jamaa sijui niseme una roho ngumu au vipi?! Kwamba huyo kicheche wako unayemuita mke ameenda kugawa K tena kwa kulazimisha na wewe unajua halafu bado unaye tu?!! Aisee mimi huwa nasema mke wangu amegwe sana tu nje akiweza ila ahakikishe sijui! Sasa wewe cha kukushauri ni kulea hiyo mimba vizuri kabisa. Mtafutie na embe mbichi na udongo kabisa na hata ukiweza beba mgongoni kupeleka kliniki
Kama ana mzunguko wa siku 28.... na tar 20/8 alianz mp...then
Mkakutana kuanzia tar 1-5/9
Ina maana mlikutana siku za hatari(mlikutana tar 2/9...akiwa siku hatari...tena veeery hatari)
Inamaana aliingia mp tena kuanzia tar 16/9...
Hivyo alikuwa tena kwenye siku za hatari kuanzia tar 26/9-30/9
Kuna posibilities kubwa mimba yako....... (au jmaa mwingine kachangia vidole[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38])
Uhakika ni kusubiri mtoto azaliwe