Kila kukicha wenzetu wanatuzi ubunifu, ingawa siasa zao ni hatari kuliko za kwetu, ikija kupiga hatua za kimaendeleo hata robo hatuwakaribii. Nawaonyesha mfano kutoka Kenya ambao wametumia brand ya Tinga Tinga kuandaa cartoons, au animated chatacters kupata deal kubwa ya kibiashara Ulaya na Marekani. Soma story ya BBC hapa.
Hiyo ni sehemu ya story nyingi za mafanikio ya teknolojia Kenya, wamejipanga vizuri sana kutumia fibre optic cable. Sisi kwetu Tanzania, Waziri wa teknolojia akiombwa interview na vyombo vya nje anaingia mitini [kama wako competent wanaogopa nini kuhojiwa? - ingawa kipimo cha kazi yao siyo kutoa interviews], TCRA wameombwa interview na BBC zaidi ya mara tano wanatoa visingizio.
Inakera kuona tunaongozwa na watu wasiokuwa na shauku ya kuisogeza mbele nchi yetu, inakera kuona tunaongea zaidi kuliko tunavyotekeleza mipango.
Katika modern society, Tanzania inatakiwa kuwa na rivals, au benchmark za kujipima nazo progress ya nyanja mbali mbali. Hayo yote hayafanyiki, badala yake kipimo chetu ni CCM na wapinzani. Blah blah.....
Hiyo ni sehemu ya story nyingi za mafanikio ya teknolojia Kenya, wamejipanga vizuri sana kutumia fibre optic cable. Sisi kwetu Tanzania, Waziri wa teknolojia akiombwa interview na vyombo vya nje anaingia mitini [kama wako competent wanaogopa nini kuhojiwa? - ingawa kipimo cha kazi yao siyo kutoa interviews], TCRA wameombwa interview na BBC zaidi ya mara tano wanatoa visingizio.
Inakera kuona tunaongozwa na watu wasiokuwa na shauku ya kuisogeza mbele nchi yetu, inakera kuona tunaongea zaidi kuliko tunavyotekeleza mipango.
Katika modern society, Tanzania inatakiwa kuwa na rivals, au benchmark za kujipima nazo progress ya nyanja mbali mbali. Hayo yote hayafanyiki, badala yake kipimo chetu ni CCM na wapinzani. Blah blah.....