Ndugu zangu wa jf naomc 2msaidie huyu ndugu yangu!!!


tatizo ni nyie wanaume unajua sana kudanganya watoto wa wa2 et unakuta mwanaume anakumbia huna haja ya kusoma mimi ninahela nitakufungulia biashara msichana ataacha kudanganyika kweli ukizingatia kusoma kulivyo kugumu
 
tatizo ni nyie wanaume unajua sana kudanganya watoto wa wa2 et unakuta mwanaume anakumbia huna haja ya kusoma mimi ninahela nitakufungulia biashara msichana ataacha kudanganyika kweli ukizingatia kusoma kulivyo kugumu

Wewe sasa unaleta siasa kwenye mambo muhimu yanayogusa maisha ya watu. Huyo mtoto hana wazazi? Hivi wewe unangeweza kukubali mtoto wako adanganywe na kuolewa katika umri huo? Kama wanaume ni waongo kiasi hicho basi hata baba wa mtoto ni mjinga asiyejua kuwa binti yake anaingizwa mkenge? Au labda aliamua kumfanya mradi yeye kugeuka mjasiriamali.

Hakuna sababu ya kulaumu wanaumu katika suala lilifikia kiasi cha ndoa. Kama ni mambo ya ngono tu na kusepa nitakubali hoja kama hii!
 
FP,

Hivi kuolewa ni dili namna hiyo? Ngoja niombe ruhusa kwa bibi nichangamkia toto dogo.....!!!

Hata kama ni shida hawa wazazi walizidisha sana!

Una pumzi babu? usije ukafia huko bure, hawa watoto balaa.................. kama wanaanza wakiwa f2.............
kwa kweli walizidisha hao wazazi
 
tatizo ni nyie wanaume unajua sana kudanganya watoto wa wa2 et unakuta mwanaume anakumbia huna haja ya kusoma mimi ninahela nitakufungulia biashara msichana ataacha kudanganyika kweli ukizingatia kusoma kulivyo kugumu

kuna mtu amekufa sababu ya kusoma? huko ni kutafuta shortcut wakati maisha hayataki hizo shortcut zao........................ mtu mpaka akuambie hakuna haja ya kusoma mbona yeye kasoma kama hakuona haja?
 
tatizo ni nyie wanaume unajua sana kudanganya watoto wa wa2 et unakuta mwanaume anakumbia huna haja ya kusoma mimi ninahela nitakufungulia biashara msichana ataacha kudanganyika kweli ukizingatia kusoma kulivyo kugumu

I smell kama jamaa alitumia udhaifu wa ndugu za binti kushindwa kuona mbali kwa kuruhusu binti aolewe at 18.
Kuna hii imani potofu ya kwamba mtu akishagonga 18 basi tayari ni MTU MZIMA, wakati ukweli ni kwamba ni kama mtoto aliyezaliwa leo ktk ulimwengu wa watu wazima.
Halafu pia I smell hata ndugu wa mwanaume nao ni WENDAWAZIMU. Kwetu sisi ukioa binti basi hata ndugu zetu watahakikisha humnyanyasi hata kidogo wife wako.
 

ehe! Halafu cha kushangaza binti alienda nyumbani kwa wazazi wa mwanaume na kuwaelezea matatizo yao lakini cha ajabu walimwambia we kama mumeo kakwambia uende kwenu we nenda ha2wezi kukusaidia
 

Sijui kama kunalakufanya zaidi ya kumkilia Mungu! Na stori zenye mambo ya hivi zinawapata pia baadhi ya wanaume lkn nashangaa si mara nyingi kusikia zikiongelewa!
 
ndoa ya kwanza haijavyunjika kwani mwanaume anasema aendelee kukaa kwao atakapomuhitaji ataenda kumchukua
kusoma hujui hata picha tu kwamba huyu ni mbuzi au punda huyo ndo keshaachika hivo au anataka official devorce?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…