white_charcoal
Member
- Aug 15, 2024
- 49
- 72
Awali ya yote, Nashukuru Sana kwa kutenga muda wako na kupitia Uzi huu.
Leo nimepata wazo la biashara linalohusiana na kutoa huduma kwa watu mbalimbali hasa wa mikoani na wale wote ambao wapo nje ya jiji la Dar es salaam.
Nimepitia Nyuzi nyingi na mitandao mingi ya kijamii kwa muda mrefu sasa,nikapata muda wa kuona wapi panachangamoto gani na pafanyike nini japo nilikosa mda mzuri wa kuliweka Sawa hili wazi na hii inatokana na kuwa muda mwingi nilikuwa Niki focus na elimu.
CHANGAMOTO NILIZOZIONA;
1. Ugumu wa ufikiaji wa bidhaa kwa watu wa mikoani, hasa wanapozitaka kutoka Dar.
2. Gharama za ufatiliaji endao itawalazimu kuja kuchukua mizigo.
3. Umbali, ambao hufany kushndwa kuziacha biashara kuja Dar.
4. Ufinyu wa kutokulijua jiji vyema hususani machimbo ya bidhaa.
5. Kutokuwepo kwa uaminifu baina ya wafanya biashara wa mikoani na maduka ya mtandaoni.
6. Upotevu wa muda mwingi kwa mtu mmoja kufuatilia kilakitu( uagizwaji,ununuzi,kutafuta chimbo) nk.
WAZO NILILOPATA BAADA YA KU STUDY HIZO CHANGAMOTO.
1. Kuwa mtu ambaye sio winga, utaniagiza bidhaa yeyote iwe duka unalolifahamu au laa kisha utanunua bei ya dukani kwa kukubaliana na mwenye duka na malipo mtafanya bila Mimi kuhusuka na chochote.
2. Nitasimamia huo mzigo wako process zote hadi kutumwa huko uliko. Kama pia Una chain yako ya usafirishaji ambayo huwa unatumia kampuni Fulani ni njema zaid.
3. Lakini pia utanituma kufuatilia details zozote za kibiashara, ikiwemo unasehemu umesikia kuna ABC unataka kuhakiki km Hilo duka lipo na bidhaa zipo basi Mimi nipo kwaajili yako huna haja ya kufunga safari
4. Kama haitoshi, Nita act km personal assistant wako kweny kukuwakilisha kimanunuzi yoyote nikiwa Dar wewe ukiwa mkoani kwani elimu ipo japo sio kubwa ila ninaujuzi wa Kati katika MARKETING hivyo ninajua ninachoongea.
MALIPO
Malipo yatakuwa ni madogo Sana Sana Sana kulingana na huduma husika na namna tutayokubaliana na mteja wangu, niwatoe hofu tena bei itakuwa Sawa na bure na utalipa baada ya process mzima kukamilika.
PENDEKEZO
Kama ipo namna yyte na kurasimisha kisheria hii naomba wajuzi mnipe elimu, nipotayari kufuata tarajibu ili kuongeza uaminifu zaidi, na km haipo basi nikoradhi kuweka wazi nyaraka yoyote stahiki ili kuongeza uaminifu na kuonesha Nia yangu ya dhati katika kutoa huduma hii.
Napokea ushauri pia wa Aina yoyote ili kuboresha wazo langu.
Asante🤝
Leo nimepata wazo la biashara linalohusiana na kutoa huduma kwa watu mbalimbali hasa wa mikoani na wale wote ambao wapo nje ya jiji la Dar es salaam.
Nimepitia Nyuzi nyingi na mitandao mingi ya kijamii kwa muda mrefu sasa,nikapata muda wa kuona wapi panachangamoto gani na pafanyike nini japo nilikosa mda mzuri wa kuliweka Sawa hili wazi na hii inatokana na kuwa muda mwingi nilikuwa Niki focus na elimu.
CHANGAMOTO NILIZOZIONA;
1. Ugumu wa ufikiaji wa bidhaa kwa watu wa mikoani, hasa wanapozitaka kutoka Dar.
2. Gharama za ufatiliaji endao itawalazimu kuja kuchukua mizigo.
3. Umbali, ambao hufany kushndwa kuziacha biashara kuja Dar.
4. Ufinyu wa kutokulijua jiji vyema hususani machimbo ya bidhaa.
5. Kutokuwepo kwa uaminifu baina ya wafanya biashara wa mikoani na maduka ya mtandaoni.
6. Upotevu wa muda mwingi kwa mtu mmoja kufuatilia kilakitu( uagizwaji,ununuzi,kutafuta chimbo) nk.
WAZO NILILOPATA BAADA YA KU STUDY HIZO CHANGAMOTO.
1. Kuwa mtu ambaye sio winga, utaniagiza bidhaa yeyote iwe duka unalolifahamu au laa kisha utanunua bei ya dukani kwa kukubaliana na mwenye duka na malipo mtafanya bila Mimi kuhusuka na chochote.
2. Nitasimamia huo mzigo wako process zote hadi kutumwa huko uliko. Kama pia Una chain yako ya usafirishaji ambayo huwa unatumia kampuni Fulani ni njema zaid.
3. Lakini pia utanituma kufuatilia details zozote za kibiashara, ikiwemo unasehemu umesikia kuna ABC unataka kuhakiki km Hilo duka lipo na bidhaa zipo basi Mimi nipo kwaajili yako huna haja ya kufunga safari
4. Kama haitoshi, Nita act km personal assistant wako kweny kukuwakilisha kimanunuzi yoyote nikiwa Dar wewe ukiwa mkoani kwani elimu ipo japo sio kubwa ila ninaujuzi wa Kati katika MARKETING hivyo ninajua ninachoongea.
MALIPO
Malipo yatakuwa ni madogo Sana Sana Sana kulingana na huduma husika na namna tutayokubaliana na mteja wangu, niwatoe hofu tena bei itakuwa Sawa na bure na utalipa baada ya process mzima kukamilika.
PENDEKEZO
Kama ipo namna yyte na kurasimisha kisheria hii naomba wajuzi mnipe elimu, nipotayari kufuata tarajibu ili kuongeza uaminifu zaidi, na km haipo basi nikoradhi kuweka wazi nyaraka yoyote stahiki ili kuongeza uaminifu na kuonesha Nia yangu ya dhati katika kutoa huduma hii.
Napokea ushauri pia wa Aina yoyote ili kuboresha wazo langu.
Asante🤝