Ndugu zangu wachaga badilikeni

Ndugu zangu wachaga badilikeni

naliwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
410
Reaction score
987
Juzi nilikua nimemtembelea baba mkwe wangu ambaye alikua amelazwa kwa kuanguka ghafla nilipojaribu kuumuliza daktari nini hasa chanzo cha tatizo akanijibu mzee alianguka kwa ajili ya njaa daa nikashikwa na aibu sana tukio hili limenifanga nikumbuke mwaka Jana alipolazwa nilijifungasha majuisi na vitu vingi tuu ajabu hakula ata kimoja badala yake nikavikuta ameviweka dukani kwake anauza baada ya kuruhusiwa kutoka hospital ni aibu shemeji zangu mbasilike,utajili sio kujinyima
 
Juzi nilikua nimemtembelea baba mkwe wangu ambaye alikua amelazwa kwa kuanguka ghafla nilipojaribu kuumuliza daktari nini hasa chanzo cha tatizo akanijibu mzee alianguka kwa ajili ya njaa daa nikashikwa na aibu sana tukio hili limenifanga nikumbuke mwaka Jana alipolazwa nilijifungasha majuisi na vitu vingi tuu ajabu hakula ata kimoja badala yake nikavikuta ameviweka dukani kwake anauza baada ya kuruhusiwa kutoka hospital ni aibu shemeji zangu mbasilike,utajili sio kujinyima
Acha kudhalilishwa baba mkwe wako usikute Huduma zenyewe hafifu
 
Uongo usiofanania na ukweli. Nenda katunge tena.
 
Peleka jukwaa la jokes, hili siyo jukwaa la hizo tamthilia zako za kitoto,,

JF inabidi iweke short interview ya kupima watu sehemu wanazoweza kupost thread maana wengine wanapotezaga hadhi ya jukwaa
 
YNdonini?? Wafilipino wangekwambia yua gudi fo nathingi... Yu pisi ofu trashi!!
Hapa ni mada serious,hayo matani ya watoto wa chekechea usituletee humu
 
Back
Top Bottom