Ndugu zangu Wahaya, tuache upotoshaji, Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris hana asili ya Kanyigo, Bwanjai wala Kanyangereko

Ndugu zangu Wahaya, tuache upotoshaji, Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris hana asili ya Kanyigo, Bwanjai wala Kanyangereko

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Baada ya nchi kupata taarifa za ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani, ndugu zetu wahaya wameanza propaganda kwamba huyu mama ana asili ya mkoa wa Kagera, natumia fursa hii kuweka wazi kwamba hana nasaba yoyote na Mkoa wa Kagera.
 
Dah nani kasema hivyo na ana ushahidi upi?
Na walishawahi pima kilimo Cha DNA wakagundua genes alizokuwa nazo?
Kwa asilimia kubwa ancestors wa yule mama ni from the West Africa au west indies.
 
Tufanyetu ana asili ya huko. Kwahiyo sasa wahaya wote wanataka wahamie Whitehouse au
 
Baada ya nchi kupata taarifa za ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani, ndugu zetu wahaya wameanza propaganda kwamba huyu mama ana asili ya mkoa wa Kagera, natumia fursa hii kuweka wazi kwamba hana nasaba yoyote na Mkoa wa Kagera.
Si huyo tu,Hata waziri mkuu wa Uingereza amezaliwa Kamachumu.Ana undugu na akina Kugi's
 
Maajabu huyo Kamala hata hawazi undugu na sisi
 
😅😅😅🙌🏾

WAHAYA MAMBO YAO BANA... SOMETIMES KUJIKWEZA NA MASIFA YASIO NA MISINGI YAKIZIDI HUKUCHORA KAMA MSHAMBA KWENYE JAMII.

BINAFSI NIKIWA NA MUHAYA ZILE MAMBO ZAKE AMBAZO ANANILETEA MIMI HUWA NAONAGA NI VICHEKESHO TU NA MWISHO WA SIKU NA-CONCLUDE KAMA USHAMBA!
 
Nani amesema amezaliwa Kanyigo au Kanyangereko?

Baba yake Kamala Haris ni Mzaliwa wa Muleba na hata kwao nakupereka muda wowote na alisoma Muleba Primary school

Baadae akaenda kusoma Marekani kama walivyoenda Wahaya wengine wengi

Sir. George Kahama yeye aliamua kwenda Ulaya akapewa cheo cha kuitwa ''SIR'' kama Sir Alex Furgeson au Sir Albert Einstein

Actually, yeye ndio Mtanzania peke yake aliyepewa cheo hicho mpaka reo hii
 
Baada ya nchi kupata taarifa za ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani, ndugu zetu wahaya wameanza propaganda kwamba huyu mama ana asili ya mkoa wa Kagera, natumia fursa hii kuweka wazi kwamba hana nasaba yoyote na Mkoa wa Kagera.
Miaka ya 70s Raisi wa Urusi alikaa sana pale Rwamishenyi alijifunza sana kihaya na nyumba yake bado ipo pale Rwamishenyi......
 
Walisema lini na wap?

Kuna watu bila kuwawaza na kuwasema wahaya hamjiskii vzr...


Pambaneni na hali zenu
 
Hii nchi bado ina wavulana washamba sana na wabaguzi wa kikabila na baadhi yao hujiona wao ni bora zaidi kuliko watu wengine.. japokua mimi sio muhaya ila natokea kabila lenye kubaguliwa na kusemwa sana sawa na wahaya, inafikia mpaka ukiwa unatafuta kazi ukaona wakubwa wanaanza kutaka kujua asili yako inabdi upindishe mshale tu ili kukwepa kuanza kubaguliwa, same kwenye mahusiano napo yale yale hali ya ubaguzi au kusemwa vibaya kabila flani liko hivi au vile mara sijui usiolewe kule sijui usioe kabila flani ni mambo ya kindezi tabia ya mtu iko kwenye akili na moyo wake sio kabila lake..
 
Miaka ya 70s Raisi wa Urusi alikaa sana pale Rwamishenyi alijifunza sana kihaya na nyumba yake bado ipo pale Rwamishenyi......
Eeehh, pale karibu na sokoni
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wahaya wanasifa sana dah af wanawapataga mademu kwa hurais sana
 
Back
Top Bottom