Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jamaa zetu roho zinawauma sana, wanakaa vikao vya kila aina ili kutia mchanga pilau, wameumia sana kusikia Rais wa FIFA, CAF na Arsene Wenger watakuwepo siku hiyo wakimshuhudia Kibu Dennis akitengeneza soko nje ya nchi, siku hiyo dunia itamjua Kibu Dennis ni nani.
Jamaa wanakesha kuharibu mambo na wengine ni ndugu zetu kabisa kabisa ndani ya red, mm sizushi wala sipati faida yoyote, faida yangu mm ni kufurahi t ijumaa, sasa kama kuna watu wanapanga njana nisifurahi wafanye kama yale ya Raja nitafurahi vip, kwanini nisiseme kwa viongozi wangu wayachukulie kwa uzito haya ninayosema, wahakikishe Perrcy Tau cjui Alio Dieng sijui yule mborrusia Dortmund ni famba tu.
USM alger vibonde wa utopolo walimfunga kwenye charity shield sisi tushindwe kwann, enyi viongozi wangu tuchukue kila aina ya tahadhari, mdudu yoyote atakayethubutu kuingia habari zetu afe hapo hapo kwa kukauka.Ijumaa hatoki mtu.
Jamaa wanakesha kuharibu mambo na wengine ni ndugu zetu kabisa kabisa ndani ya red, mm sizushi wala sipati faida yoyote, faida yangu mm ni kufurahi t ijumaa, sasa kama kuna watu wanapanga njana nisifurahi wafanye kama yale ya Raja nitafurahi vip, kwanini nisiseme kwa viongozi wangu wayachukulie kwa uzito haya ninayosema, wahakikishe Perrcy Tau cjui Alio Dieng sijui yule mborrusia Dortmund ni famba tu.
USM alger vibonde wa utopolo walimfunga kwenye charity shield sisi tushindwe kwann, enyi viongozi wangu tuchukue kila aina ya tahadhari, mdudu yoyote atakayethubutu kuingia habari zetu afe hapo hapo kwa kukauka.Ijumaa hatoki mtu.