Namshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kupata chaguo lilo bora zaidi. Nimepata mchumba anayetoka katika mkoa wa Iringa. Hapo ndo penyewe naomba mwenye kufahamu vizuri juu ya taratibu za utoaji wa mahari huko Iringa, hasa vitu gani vinapaswa kuzingatiwa na mposaji.
Sharti uwe na vitu vifuatavyo;
1. Kamba ya katani ilofumwa vizuri na Imara(Ya Kujinyongea)
2. Jembe
3.Gunia la Mahindi na Maharage(Kwa ajili ya kande)
4.Kidumla~cha kunywea ulanzi
5. Koti zito na blanket,na
6. Stuli moja kwa ajili ya kusimamia pale watakapo kujinyonga.
NB: Hivyo ndio vya msingi, pesa sio za muhimu.