Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
“Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,”Wadau hamjamboni nyote?
Nauliza nipate kujua, nipate ilimu na maarifa
Swali lijibiwe bila mihemuko au hisia au chuki au kutegemea ushahidi wa wengineo
Leteni ushahidi wenu Wasabato
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Usiku mwema
Mkuu nimeuliza ushahidi wa siku Jumamosi hii ya leo na siyo ilotajwa kwa Biblia, elewa swali“Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,”
Lk 4:16-17 SUV
“Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza; wakasemezana wao kwa wao, Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi? Hata walipotazama, waliona ya kuwa lile jiwe limekwisha kuvingirishwa; nalo lilikuwa kubwa mno. Wakaingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu. Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulibiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.”Lk 4:16-17 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palip | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitway
Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipbible.com
Mk 16:1-6 SUV
Mk 16:1-6 Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lil | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo
Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilbible.com
“Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu. Lakini Pilato akastaajabu, kwamba amekwisha kufa. Akamwita yule akida, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.”
Mk 15:42-44 SUV
Mk 15:42-44 Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; a | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwa
Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; abible.com
Haya mafungu yanajieleza
Ukitaka na historia ya ni wakati gani hasa early Christians walianza kuabudu siku ya jua pia nitakupa
Kwani biblia iliyoandikwa na RC huwa mnaiamini?“Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,”
Lk 4:16-17 SUV
“Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza; wakasemezana wao kwa wao, Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi? Hata walipotazama, waliona ya kuwa lile jiwe limekwisha kuvingirishwa; nalo lilikuwa kubwa mno. Wakaingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu. Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulibiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.”Lk 4:16-17 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palip | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitway
Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipbible.com
Mk 16:1-6 SUV
Mk 16:1-6 Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lil | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo
Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilbible.com
“Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu. Lakini Pilato akastaajabu, kwamba amekwisha kufa. Akamwita yule akida, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.”
Mk 15:42-44 SUV
Mk 15:42-44 Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; a | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwa
Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; abible.com
Haya mafungu yanajieleza
Ukitaka na historia ya ni wakati gani hasa early Christians walianza kuabudu siku ya jua pia nitakupa
Ukli ndio huo usikimbilie iliandikwa na waromaKwani biblia iliyoandikwa na RC huwa mnaiamini?
AsanteKwenye hadithi nyingi za mtume muhammad(saw) zinathibitisha kuwa sabato ilikuwa jumamosi, siku baada ya ijumaaa
Bila kushabikia ila katika kujifunza zaidi hata mimi nionyeshe wapi hapo jumamosi inaonekana sabato maana bado sijaona. Nilishaambiwa nisome mathayo 28 ila bado nikashindwa kuelewa.“Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,”
Lk 4:16-17 SUV
“Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza; wakasemezana wao kwa wao, Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi? Hata walipotazama, waliona ya kuwa lile jiwe limekwisha kuvingirishwa; nalo lilikuwa kubwa mno. Wakaingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu. Naye akawaambia, Msistaajabu; mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyesulibiwa; amefufuka; hayupo hapa; patazameni mahali walipomweka.”Lk 4:16-17 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palip | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitway
Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipbible.com
Mk 16:1-6 SUV
Mk 16:1-6 Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lil | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo
Hata sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka. Hata alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilbible.com
“Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu. Lakini Pilato akastaajabu, kwamba amekwisha kufa. Akamwita yule akida, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.”
Mk 15:42-44 SUV
Mk 15:42-44 Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; a | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwa
Hata ikiisha kuwa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato, akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; abible.com
Haya mafungu yanajieleza
Ukitaka na historia ya ni wakati gani hasa early Christians walianza kuabudu siku ya jua pia nitakupa
Ila sidhani kama itasaidia sana kwakuwa ni jambo linaloambatana na imaniWadau hamjamboni nyote?
Nauliza nipate kujua, nipate ilimu na maarifa
Swali lijibiwe bila mihemuko au hisia au chuki au kutegemea ushahidi wa wengineo
Leteni ushahidi wenu Wasabato
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Usiku mwema
Kwa hiyo ili tuende mbinguni ni lazima tuwe na siku ya kuabudu na siyo kumjua na kumtumikia MUNGU kila sekunde?Ukli ndio huo usikimbilie iliandikwa na waroma
Received text haikutoka kwa waroma ambapo imetafsriwa King James Version.
Vulgate bible ndiyo ya wakatolic iliyochakachuliwa ili I support traditions nyingi za kipagani ziitwe ukristo pamoja na kubadili siku ya ibada ambayo wakristo wa mwanzo waliabudu on sabbath Saturday.
Mpaka 321 AD emperor Constantine alipogeuka kuwa mkristo aliwashawishi wakristo walioko Roma kwamba in order to convince waroma wawe wakristo tutumie siku yao ya kuabudu jua their supreme god maana walikuwa na miungu mingi lakini jua ndio supreme, ndio maana sunburst symbol iko kwenye makanisa Yao.
Na pia Sundays zikaanza kusherekea Kama siku ya Yesu kufufuka
Hivi ndivyo Sunday worship started badala ya sabato kinyume na Biblia inavyosema
Nakubaliana na wewe; sabato ni Jumamosi maana wakibisha waulize kama Jumapili ni lini? Hiyo siku watakayosema ndiyo Jumapili basi waambie sabato ni siku ya kabla yake maana zafuatano. Ni suala la common sense tu. Muhimu zaidi ni wanaoabudu Jumamosi na wanaofanya hivyo Jumapili wote wako sahihi.Yesu Kama desturi yake Alitunza sabato Luka 4:16
Kitabu cha Marko 16:1-6 kwamba siku ya kwanza ya juma kibiblia yani Jumapili Yesu alifufuka ukihesabu siku ya Saba ni jumamosi.
Marko 15 :42-44 hii ni siku alipo sulibishwa ijumaa ikitajwa Kama maandalio ya sabato
Ikimaanisha kwamba siku inayofuata ni sabato.
Kuna mafungu mengi ya Biblia tuanzie hapo
“If ye love me, keep my commandments.”Nakubaliana na wewe; sabato ni Jumamosi maana wakibisha waulize kama Jumapili ni lini? Hiyo siku watakayosema ndiyo Jumapili basi waambie sabato ni siku ya kabla yake maana zafuatano. Ni suala la common sense tu. Muhimu zaidi ni wanaoabudu Jumamosi na wanaofanya hivyo Jumapili wote wako sahihi.
Nimeshaandika hapo juu kwenye post zangu jinsi ya kutambua siku kitabu cha Marko 15 mpaka 16 siku aliyokufa Yesu tunajua ni ijumaa na Biblia inasema ni siku ya maandalio ya sabato,kwa hiyo siku inayofuata ni sabato ambayo ni jumamosi.Bila kushabikia ila katika kujifunza zaidi hata mimi nionyeshe wapi hapo jumamosi inaonekana sabato maana bado sijaona. Nilishaambiwa nisome mathayo 28 ila bado nikashindwa kuelewa.
Tunamuomba Mungu individually na collectively kila wakati,kila saa na kila sikuKwa hiyo ili tuende mbinguni ni lazima tuwe na siku ya kuabudu na siyo kumjua na kumtumikia MUNGU kila sekunde?
Kama Kristo asingalifufuka imani yetu ingalikuwa bure; ila Kristo amefufuka limbuko lao waliolala. Siku ile kukaja upepo kutoka mbinguni Roho Mtakatifu akawashukia wanafunzi siku ile ya Pentekoste kanisa la kwanza likazaliwa wakamwabudu Mungu katika roho na kweli.Hatutaokolewa kWa Amri kumi tunaokolewa kwa neema ya Yesu kristo pekee lakini tukisha ipokea neema na kumkubali Kristo Kama BWANA na mwokozi wetu , Tunatii Amri zake bila shuruti ikiwamo sabato.
Amri za Mungu ni 10 siyo tisa
Kwa hiyo unabishana na Yesu aliyekuwa ananyofoa masuke ya ngano na kuwaambia watu kwamba hajaja kuibatilisha torati bali kuikamilisha iwe bora kwa kuwaambia amri iliyo kuu ni UPENDO?Tunamuomba Mungu individually na collectively kila wakati,kila saa na kila siku
Kitu za Amri kumi za Mungu ni ushahidi kwamba tunamheshimu na kumuabudu
Katika Amri kumi sabato ni moja wapo huwezi ku pick and choose
Yakobo 2:10
“Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus.”
Revelation 14:12 KJV
“To the law and to the testimony: if they speak not according to this word, it is because there is no light in them.”Revelation 14:12 Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus. | King James Version (KJV) | Download The Bible App Now
Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus.bible.com
Isaiah 8:20 KJV
Huwezi kusema unampenda Yesu na unapinga Amri zake kuchagua zipi utunze zipi uache.Isaiah 8:20 To the law and to the testimony: if they speak not according to this word, it is because there is no light in them. | King James Version (KJV) | Download The Bible App Now
To the law and to the testimony: if they speak not according to this word, it is because there is no light in them.bible.com
Barikiwa ndugu tunapoendelea kuchambua maandiko I am not better than you tunasoma tu kilichoandikwa ili tujue ukweli
Na Biblia ndiyo final authority kwa wakristo the received text siyo vulgate
Wakati wa Yesu kulikuwa na siku zinaitwa Jumatatu,Jumanne,Jumatano,Alhamisi,Ijumaa,Jumamosi na Dominica?Nithibitishie ili niache ujinga?Halafu ukimaliza hilo uniambie Yesu alitumia kalenda ipi kwa nyakati hizo.Samualeko.Kwenye hadithi nyingi za mtume muhammad(saw) zinathibitisha kuwa sabato ilikuwa jumamosi, siku baada ya ijumaaa