Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu mods waache kupitia thread kabla ya kupost imekuwa shida moja kwa moja
oryt. .nipo mbali na chuo,mwanza.
mwambie akasome kozi kule OUT ya MCED heri ya hiyo kuliko hii ya SUA
mfungulie mradi wa vitumbua unapoteza hela yako hakjna kitu hapo
mwenye kua na clue nzuri abt hii masterz ya rural development,i mean fees,mode of deliverance and it market. .najaribu kufungua website yao hawajaelekeza kuhusu fees. .kuna ndugu nataka natak kumpa suport!
Nikutumie no ya mkononi ya kiongozi mmojawapo umpigie?