ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Muelewe ya kuwa hata Tanzania tukisema tupimane wengi sana tutakutwa infected na corona. Jambo moja zuri ni kuwa sisi Waafrika hasa sie tuliopo katika Africa Mashariki nguvu ya virus huyu nguvu yake si kama ya Europe na continents nyingine, athari yake ni ndogo kwetu utakuta twaweza kutwa wengi tupo infected lakini hiyo haitusumbui ni ugonjwa ambao twaweza ishi nao na tukapona hata bila kwenda treatment.
Hivyo, hiyo mambo ya Mass testing itazidi kuwaweka katika panic, Lock down nayo itazidi kuwaweka ktk panic na kuumiza maisha ya watu wengi masikini, hata tukiangalia rate ya vifo Bado ipo chini sana hapa East Africa sasa kuweka knockdown ni kuzidisha taabu na panic ambayo ndiyo kitu kibaya sana.
Fuateni njia tunazotumia sisi Tz, fuateni njia za JPM pamoja tutashinda, lakini tuendelee kuchukua tahadhari.
Hivyo, hiyo mambo ya Mass testing itazidi kuwaweka katika panic, Lock down nayo itazidi kuwaweka ktk panic na kuumiza maisha ya watu wengi masikini, hata tukiangalia rate ya vifo Bado ipo chini sana hapa East Africa sasa kuweka knockdown ni kuzidisha taabu na panic ambayo ndiyo kitu kibaya sana.
Fuateni njia tunazotumia sisi Tz, fuateni njia za JPM pamoja tutashinda, lakini tuendelee kuchukua tahadhari.