Kuna watu hapa hawataki kusikia katiba mpya na wanaunga mkono wizi wa kura , hawasemi lolote watu kutekwa lakini cha ajabu wanasema wenyewe ni wazalendo.
Sasa watueleze sababu zao za kufikiria wanalitendea haki taifa hili. Cha ajabu wengine ni usalama wa taifa na Polisi!
Tupeni sababu zetu tujadili
Je ni pesa, uchawa kwa ndugu, kuunga mkono bila kuuliza, uchawa ambao hata wewe hujui sababu au unafikiria ni kwa manufaa ya taifa!
Mkikwepa haya majadiliano msitulaumu tukisema nyie ni mafisadi maana ndiyo sababu nyingine
Sasa watueleze sababu zao za kufikiria wanalitendea haki taifa hili. Cha ajabu wengine ni usalama wa taifa na Polisi!
Tupeni sababu zetu tujadili
Je ni pesa, uchawa kwa ndugu, kuunga mkono bila kuuliza, uchawa ambao hata wewe hujui sababu au unafikiria ni kwa manufaa ya taifa!
Mkikwepa haya majadiliano msitulaumu tukisema nyie ni mafisadi maana ndiyo sababu nyingine