Ndugu zetu wa kina Mwaisa vipi?

Ndugu zetu wa kina Mwaisa vipi?

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Kwema, kwanza salamu mtumwa..

Hawa Mbeya City washuke tu daraja,yaani Yanga imekuonea huruma, imekupangia kikosi cha ajabu sana, mwisho wa siku unafanya upumbavu? Eti Mbeya City nao Waarabu, hiiii..hiiiii kwanza nicheke.

Ushapata goli 3 rudisha timu nyuma wote wakabe, hakuna kushambulia tena. Sasa unajifanya kushindana na Yanga waliotoka kucheza mechi za kimataifa?!

Kwanzia wachezaji wote mpaka benchi la ufundi akili hakuna, Yanga sio ya kushindana nayo kwa sasa.

Na iwe funzo kwa timu zote bongo!
 
Wamewekewa hadi kipa namba 3 , wakataka waidharirishe yanga kwa goli nyingi hapo ndio waliharibu
Swala halikuwa goli nyingi, Bali kujifanya wajuwaji wakati wanajuwa wazi lengo la Yanga leo lilikuwa ni kuwabeba wao wasishuke daraja.

Tumewahi kuwasaidia Simba pia isishuke daraja mwaka 1988 kama sikosei tukakubali kupoteza mechi ya mwisho na Simba mbovu ili wenzetu wabaki ligi daraja la kwanza enzi hizo.

Kilichowaponza Mbeya City leo ni tabia ya waswahili ni bora umfadhiri mbuzi akikuuzi utamchinja unywe supu na nyama choma.

Hii ni warning kwa Watoto wote wasiokuwa na adabu kwa wakubwa.

Washuke daraja tu mbwa hao.
 
Swala halikuwa goli nyingi, Bali kujifanya wajuwaji wakati wanajuwa wazi lengo la Yanga leo lilikuwa ni kuwabeba wao wasishuke daraja.

Tumewahi kuwasaidia Simba pia isishuke daraja mwaka 1988 kama sikosei tukakubali kupoteza mechi ya mwisho na Simba mbovu ili wenzetu wabaki ligi daraja la kwanza enzi hizo.

Kilichowaponza Mbeya City leo ni tabia ya waswahili ni bora umfadhiri mbuzi akikuuzi utamchinja unywe supu na nyama choma.

Hii ni warning kwa Watoto wote wasiokuwa na adabu kwa wakubwa.

Washuke daraja tu mbwa hao.

Kweli walivopiga mbili wangevunga kupack basi lakini wakaanza kukazana zaidi
 
Kwema, kwanza salamu mtumwa..

Hawa Mbeya City washuke tu daraja,yaani Yanga imekuonea huruma, imekupangia kikosi cha ajabu sana, mwisho wa siku unafanya upumbavu? Eti Mbeya City nao Waarabu, hiiii..hiiiii kwanza nicheke.

Ushapata goli 3 rudisha timu nyuma wote wakabe, hakuna kushambulia tena. Sasa unajifanya kushindana na Yanga waliotoka kucheza mechi za kimataifa?!

Kwanzia wachezaji wote mpaka benchi la ufundi akili hakuna, Yanga sio ya kushindana nayo kwa sasa.

Na iwe funzo kwa timu zote bongo!
Tumewafundisha adabu, na washuke daraja tu mbwa hawa, tumewabeba lakini hawabebeki.
 
Swala halikuwa goli nyingi, Bali kujifanya wajuwaji wakati wanajuwa wazi lengo la Yanga leo lilikuwa ni kuwabeba wao wasishuke daraja.

Tumewahi kuwasaidia Simba pia isishuke daraja mwaka 1988 kama sikosei tukakubali kupoteza mechi ya mwisho na Simba mbovu ili wenzetu wabaki ligi daraja la kwanza enzi hizo.

Kilichowaponza Mbeya City leo ni tabia ya waswahili ni bora umfadhiri mbuzi akikuuzi utamchinja unywe supu na nyama choma.

Hii ni warning kwa Watoto wote wasiokuwa na adabu kwa wakubwa.

Washuke daraja tu mbwa hao.
Ni vijifunze
 
Washabiki wa yanga ukiangalia nyuzi zao unaona kabisa wana upungufu sana wa akili.... et match ya leo walitaka kumwachia mbeya city... mipumbavu nyie... mumwachie kwa mipango gani mliyowekeana... ni kwamba kila upande ulienda kushindana na kupata kile wachoshindania...na kwa taarifa yen mbeya city hashuki daraja bado ana nafasi kubwa ya kuendnlea....
 
Washabiki wa yanga ukiangalia nyuzi zao unaona kabisa wana upungufu sana wa akili.... et match ya leo walitaka kumwachia mbeya city... mipumbavu nyie... mumwachie kwa mipango gani mliyowekeana... ni kwamba kila upande ulienda kushindana na kupata kile wachoshindania...na kwa taarifa yen mbeya city hashuki daraja bado ana nafasi kubwa ya kuendnlea....
Unaonyesha dhahiri unavyoteseka na kuumia
 
Swala halikuwa goli nyingi, Bali kujifanya wajuwaji wakati wanajuwa wazi lengo la Yanga leo lilikuwa ni kuwabeba wao wasishuke daraja.

Tumewahi kuwasaidia Simba pia isishuke daraja mwaka 1988 kama sikosei tukakubali kupoteza mechi ya mwisho na Simba mbovu ili wenzetu wabaki ligi daraja la kwanza enzi hizo.

Kilichowaponza Mbeya City leo ni tabia ya waswahili ni bora umfadhiri mbuzi akikuuzi utamchinja unywe supu na nyama choma.

Hii ni warning kwa Watoto wote wasiokuwa na adabu kwa wakubwa.

Washuke daraja tu mbwa hao.
Siyo kukubali kupoteza mechi ya mwisho tu. Mechi yenyewe ya mwisho ilikua ni dhidi ya Simba iliyokua dhaifu na pia Yanga ilihitaji kushinda mechi ile ili ichukue ubingwa.

Kilichotokea, Yanga wakaweka kikosi kisicho cha ushindani huku wachezaji wakionekana kucheza kwa maelekezo maalum. Yanga ikakubali kufungwa na Simba, ikauachia ubingwa uliobebwa na Coastal Union. Simba ikaokoka na kushuka daraja
 
Washabiki wa yanga ukiangalia nyuzi zao unaona kabisa wana upungufu sana wa akili.... et match ya leo walitaka kumwachia mbeya city... mipumbavu nyie... mumwachie kwa mipango gani mliyowekeana... ni kwamba kila upande ulienda kushindana na kupata kile wachoshindania...na kwa taarifa yen mbeya city hashuki daraja bado ana nafasi kubwa ya kuendnlea....
Tu Anashuka daraja sasa tu upendo tu usipende:nyie wa mbeya nendeni mkahubiri injili huko
 
Tu Anashuka daraja sasa tu upendo tu usipende:nyie wa mbeya nendeni mkahubiri injili huko
sawa mwaisa!! ila kumbuka kuhubili na Mira zote ni fani zetu! ukiondoa dar es salaam, mbeya ndo mkoa wenye uwezo m kubwa kimpira..... huwa inawakilishwa na time zaidi ya mbili kila mwaka.... ila mbeya city haishuki daraja
 
Back
Top Bottom