Ndugu zetu wakenya mwatutia aibu

Wakenya ni noma .wanapenda kujishaua sana. Unajua hata kupika hawajui mpaka wapelekwe chuo. Ukikuta mkenya anaongea na Mzungu utajua Yuko juu kinoma kumbe analala kwenye mabox Kule kariobangi na madongo poromoka. Ukute amenunua Benz na kuvaa Nguo ya being mbaya basis mwambie nakuja hm.atakuambia tuonane kwa Hotel. ndio wataalam wa kula chuku chuku.
 
Hahahahaaa. Waacheni mnawaonea wivu. Wenzenu wana akili kuliko East African people wooooote kasoro akili zao hawawezi kuzitumia wakiwa kwao ndo maana wanakimbilia nchi za majirani za hasa Tanzania
 
Imekula kwao milele yote!
 
Kuchamba kwingi hushika mavi and that's all!
 
Shm km hio hata Nzi mwenyewe hawez ish anaogopa kipindu pindu.
Mmbu ndo kbsaaa akikatza anapiga chafya
 
Ukweli kuwa sisi tunashughulika na wakenya zaidi ya wao wanavyoshughulika na yetu,
 
Uchumi mkubwa hahaha
uchumi upi watu wanaishi kama Nguruwe Mji mkuu!!
Nairobi ina wakazi 3.5ml
ajabu watu 2.5 huishi kwenye vibanda hivyo
Huo uchumi unamsaidiaje mkenya!!
 
kichwa chako kina kasoro...ni kweli mtu anaweza kuwa na Benz na anaishi kwenye hali hii ya madongo poromoka? anyway, tuwachieni slums zetu tuzikabili...haiwahusu ndewe wala sikio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…