'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.

'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Baada ya mechi ya 30/09/2018 ambapo Simba SC alitawala kila kona, isipokua mambo ya ulozi, mapato yaliyopatikana yalikua zaidi ya milioni 400. Katika fungu hilo, Bingwa mtetezi wa TPL na FA, Simba SC alipata zaidi ya milioni 190 huku Ndala wakipata milioni 0.

Sasa;
1. Kwakua 'ndugu zetu' Ndala mna hali ngumu sana ya kiuchumi.. Na kuhusu hili Tanzania inajua.. Africa inajua.. na Dunia inajua.
2. Kwakua sisi Simba SC tumejaariwa roho ya huruma na fedha tunayo (Si tunayo tu bali ni yakutosha).
3. Kwakua hatutaki 'ndugu zetu' mfutike katika ramani ya soka.

Ombi langu kwenu 'ndugu zetu' Ndala mnaonaje mkaomba mechi ya kirafiki nasi katika kipindi hiki cha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Katika mechi hiyo, sisi mabingwa watetezi wa TPL na FA tutajaza uwanja wote, alafu mapato yote tutawaachia mhangaike nayo.

Huu utakua mchango mkubwa sana toka kwetu, kuja kwenu 'ndugu zetu' katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.
'Ndugu zetu' Ndala, udugu si kufanana bali ni kufaana. Na sisi Simba SC tumeamua kuwasaidia.

Nawasilisha.
 
Tena kweli million karibia 400 zitaingia kwao, hebu kandambili ombeni mechi ya kirafiki tafadhali
 
Thubutuu..Wanaogapa Simba balaa, huoni Simba alipoingia kwenye kundi la Nyumbu alipotoka kapa Nyumbu walishangilia..!

Unataka kuwaletea matatizo ilhali wamenusurika..!
 
Thubutuu..Wanaogapa Simba balaa, huoni Simba alipoingia kwenye kundi la Nyumbu alipotoka kapa Nyumbu walishangilia..!

Unataka kuwaletea matatizo ilhali wamenusurika..!

Hahaha.. Mkuu lakini si wana shida hawa?? Alafu si unajua Njaa haina baunsa
 
Tena kweli million karibia 400 zitaingia kwao, hebu kandambili ombeni mechi ya kirafiki tafadhali
Kandambili hebu oneni wanasimba tulivokua na huruma na hali yenu ya hivi sasa.
 
Hapana waambie labda African Lyon huko

Mkuu unajua baada ya gemu ya j2.. Mo alimwaga mamilioni ya kutosha kama zawadi kwa wachezaji + benchi la ufundi huku upande wa 2, zawadi pekee ilienda kwa Papaa Zahera.. Nayo ni dola 200 tu.
 
Mwaziri mambo ya ndani kangi lugola.naomba pokea ujembe huu
 
yaani samba FC a.k.a mikia mwaka huu ni majanga matupuu, kikosi chenyewe kibovu, michezaji nidham mbovu, forward butu umri umeenda, koche ana technique za kizamani, usajili wa ovyo ovyo, ofisa habari mcharukoko hajui majukumu yake, mnunuzi wa litimu mwenyeweee.....ahaaa namhifadhi kidogo ila siku zake zina hesabika!
na hapo tulikuwa ugenini, nyie subiri siku tukiwa nyumbani siku hiyo lazima msambaratikite vilivyo, nyambafu zenuuu..
 
Baada ya mechi ya 30/09/2018 ambapo Simba SC alitawala kila kona, isipokua mambo ya ulozi, mapato yaliyopatikana yalikua zaidi ya milioni 400. Katika fungu hilo, Bingwa mtetezi wa TPL na FA, Simba SC alipata zaidi ya milioni 190 huku Ndala wakipata milioni 0.

Sasa;
1. Kwakua 'ndugu zetu' Ndala mna hali ngumu sana ya kiuchumi.. Na kuhusu hili Tanzania inajua.. Africa inajua.. na Dunia inajua.
2. Kwakua sisi Simba SC tumejaariwa roho ya huruma na fedha tunayo (Si tunayo tu bali ni yakutosha).
3. Kwakua hatutaki 'ndugu zetu' mfutike katika ramani ya soka.

Ombi langu kwenu 'ndugu zetu' Ndala mnaonaje mkaomba mechi ya kirafiki nasi katika kipindi hiki cha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Katika mechi hiyo, sisi mabingwa watetezi wa TPL na FA tutajaza uwanja wote, alafu mapato yote tutawaachia mhangaike nayo.

Huu utakua mchango mkubwa sana toka kwetu, kuja kwenu 'ndugu zetu' katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.
'Ndugu zetu' Ndala, udugu si kufanana bali ni kufaana. Na sisi Simba SC tumeamua kuwasaidia.

Nawasilisha.
WANANCHI hatunaga undugu na MBUMBUMBU.
 
Mbao FC wana shida zaidi yetu...mngecheza nao moja ya kirafiki.

Ama kuhusu 400m, siwashangai...masikini akipata matak'o hulia mbwata. Zitumieni kufanya usajili, maana hamna forward line ya kuifunga hata Lipuli.

Mkuu Mbao sawa wana hali mbaya.. Ila wao hawatembezi bakuli mtaani kama Ndala. Ndio maana tukawachagua ninyi, wenye njaa Kali.
 
Back
Top Bottom