Pre GE2025 Ndugulile atangaza rasmi kutokugombea tena ubunge mwaka 2025! Je, Makonda atarudi kugombea ubunge Kigamboni?

Pre GE2025 Ndugulile atangaza rasmi kutokugombea tena ubunge mwaka 2025! Je, Makonda atarudi kugombea ubunge Kigamboni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wanabodi,

Mbunge wa jimbo la Kigamboni, Faustine Ndugulile ametangaza rasmi kuwa hatagombea ubunge mwaka 2025.

Ndugulile amedokeza kuwa kwa sasa yupo mbioni kuanza majukumu yake kama Director wa WHO na atakuwa anawakilisha Waafrika zaidi ya Bilioni 1 kwenye nyanja za kimataifa.

Soma pia:
Dkt. Ndugulile kujiuzulu ubunge Februari 2025 atakapothibitishwa rasmi kuwa Mkurungenzi mpya wa WHO-Afrika

"Mwaka 2025 Mheshimiwa Waziri Mkuu mimi sitaingia katika mchakato, nakutakia kila kheri kwenye mchakato kule Ruangwa. Niishukuru sana Serikali kwa kuniidhinisha na kunipendekeza kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika La Afya Duniani ukanda wa Afrika."

Aliongeza kwa kusema:

"Shirika la Afya Duniani lina kanda 6. Kwa kuchaguliwa kwangu hivi majuzi nakwenda kusimamia sekta ya afya katika nchi 47 na kuwakilisha Waafrika Bilioni 1 na nusu"

Based on what happened in 2020, je tutegemee Makonda atarudi tena kugombea kwenye jimbo hilo kama alivyovyafanya kwenye uchaguzi uliopita?

 
Wanabodi,

Mbunge wa jimbo la Kigamboni, Faustine Ndugulile ametangaza rasmi kuwa hatagombea ubunge mwaka 2025.

Ndugulile amedokeza kuwa kwa sasa yupo mbioni kuanza majukumu yake kama Director wa WHO na atakuwa anawakilisha Waafrika zaidi ya Bilioni 1 kwenye nyanja za kimataifa.

Soma pia: Dkt. Ndugulile kujiuzulu ubunge Februari 2025 atakapothibitishwa rasmi kuwa Mkurungenzi mpya wa WHO-Afrika

"Mwaka 2025 Mheshimiwa Waziri Mkuu mimi sitaingia katika mchakato, nakutakia kila kheri kwenye mchakato kule Ruangwa. Niishukuru sana Serikali kwa kuniidhinisha na kunipendekeza kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika La Afya Duniani ukanda wa Afrika."

Aliongeza kwa kusema:

"Shirika la Afya Duniani lina kanda 6. Kwa kuchaguliwa kwangu hivi majuzi nakwenda kusimamia sekta ya afya katika nchi 47 na kuwakilisha Waafrika Bilioni 1 na nusu"

Based on what happened in 2020, je tutegemee Makonda atarudi tena kugombea kwenye jimbo hilo kama alivyovyafanya kwenye uchaguzi uliopita?

Jibu makonda hatorudia ila nitakuja mimi wakazi wa kigamboni wajitayarishe kwa maendeleo yenye spidi ya ngiri mkia juu!
 
Wanabodi,

Mbunge wa jimbo la Kigamboni, Faustine Ndugulile ametangaza rasmi kuwa hatagombea ubunge mwaka 2025.

Ndugulile amedokeza kuwa kwa sasa yupo mbioni kuanza majukumu yake kama Director wa WHO na atakuwa anawakilisha Waafrika zaidi ya Bilioni 1 kwenye nyanja za kimataifa.

Soma pia: Dkt. Ndugulile kujiuzulu ubunge Februari 2025 atakapothibitishwa rasmi kuwa Mkurungenzi mpya wa WHO-Afrika

"Mwaka 2025 Mheshimiwa Waziri Mkuu mimi sitaingia katika mchakato, nakutakia kila kheri kwenye mchakato kule Ruangwa. Niishukuru sana Serikali kwa kuniidhinisha na kunipendekeza kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika La Afya Duniani ukanda wa Afrika."

Aliongeza kwa kusema:

"Shirika la Afya Duniani lina kanda 6. Kwa kuchaguliwa kwangu hivi majuzi nakwenda kusimamia sekta ya afya katika nchi 47 na kuwakilisha Waafrika Bilioni 1 na nusu"

Based on what happened in 2020, je tutegemee Makonda atarudi tena kugombea kwenye jimbo hilo kama alivyovyafanya kwenye uchaguzi uliopita?

Ile tuhuma haitamharibia kama hatajisafisha?
 
Sidhani kama Makonda atajaribu tena kwani kama akienda kugombea na akashindwa sidhani kama atafikiriwa tena kuteuliwa itakuwa ndiyo amejiondoa mwenyewe kwenye mfumo.
 
Kigamboni ccm wasijisumbue kutia maguu, siyo Makonda wala takataka nyingine za ccm.

Mimi G4N nimejipanga vilivyo kulichukuwa Jimbo hilo
 
Duuh jamani madaraka matamu aisee yaani hapo ameshakula shavu la Regional Director for the World Health Organization (WHO) African Region ila bado anataka tena kuwa mbunge na hata baadaye apewe tena Uwaziri.
Duuh Bongo bhana 😃
 
Hivi wewe li Makonda linakupa nini mavi yako wewe, Makonda ,makonda nenda zako na li Makonda lako
 
Back
Top Bottom