Ndumbaro - Ni aibu kwa Taifa lenye watu 61M kupeleka Wanamichezo 7 Olimpiki

Ndumbaro - Ni aibu kwa Taifa lenye watu 61M kupeleka Wanamichezo 7 Olimpiki

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Waziri mwenye dhamana na kiongozi wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Daktari Damas Ndumbaro anashangazwa na anasema ni aibu kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 60 kupeleka wanamichezo 7 Olimpiki:

Sasa, sisi wananchi na yeye waziri nani anayetakiwa kushangaa au kusikitika? Huyu waziri Akili yake inafanya kazi kweli?

Kitu kikubwa alichokifanya kwa hao wanamichezo? Au kuwatembelea paris ufaransa ndo jambo lake kubwa?

Anafahamu ushiriki wa michezo ya olimpiki na maandalizi yake?

Huyu waziri ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri waliopita hapo.

Achunguzwe, inawezekana kuna rushwa mahali.Ndumbaro
 
Waziri mwenye dhamana na kiongozi wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Daktari Damas Ndumbaro anashangazwa na anasema ni aibu kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 60 kupeleka wanamichezo 7 Olimpiki:

Sasa, sisi wananchi na yeye waziri nani anayetakiwa kushangaa au kusikitika? Huyu waziri Akili yake inafanya kazi kweli?

Kitu kikubwa alichokifanya kwa hao wanamichezo? Au kuwatembelea paris ufaransa ndo jambo lake kubwa?

Anafahamu ushiriki wa michezo ya olimpiki na maandalizi yake?

Huyu waziri ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri waliopita hapo.

Achunguzwe, inawezekana kuna rushwa mahali.Ndumbaro
Maajabu hayo.
 
Waziri mwenye dhamana na kiongozi wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Daktari Damas Ndumbaro anashangazwa na anasema ni aibu kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 60 kupeleka wanamichezo 7 Olimpiki:

Sasa, sisi wananchi na yeye waziri nani anayetakiwa kushangaa au kusikitika? Huyu waziri Akili yake inafanya kazi kweli?

Kitu kikubwa alichokifanya kwa hao wanamichezo? Au kuwatembelea paris ufaransa ndo jambo lake kubwa?

Anafahamu ushiriki wa michezo ya olimpiki na maandalizi yake?

Huyu waziri ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri waliopita hapo.

Achunguzwe, inawezekana kuna rushwa mahali.Ndumbaro
Na yeye ndio Waziri wa Michezo haelewi hata Cha kufanya.

Wewe ndumbaro unatakiwa upiganie Bajeti ya Michezo mliyopewa isije kushushwa hata baada ya uwanja wa Arusha na kwingine kukamilika ilimpesanzikawekwezwe kwenye Michezo mingine mbalimbali na miundombinu ya Michezo na Sanaa Kwa ujumla.
 
Olympic wanaenda wanamichezo waliotimiza vigezo. Yeye Kama waziri angesema amefanya jitihada gani kuhakikisha tunapata wanamichezo wengi waliotimiza vigezo.
 
Waziri mwenye dhamana na kiongozi wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Daktari Damas Ndumbaro anashangazwa na anasema ni aibu kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 60 kupeleka wanamichezo 7 Olimpiki:

Sasa, sisi wananchi na yeye waziri nani anayetakiwa kushangaa au kusikitika? Huyu waziri Akili yake inafanya kazi kweli?

Kitu kikubwa alichokifanya kwa hao wanamichezo? Au kuwatembelea paris ufaransa ndo jambo lake kubwa?

Anafahamu ushiriki wa michezo ya olimpiki na maandalizi yake?

Huyu waziri ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri waliopita hapo.

Achunguzwe, inawezekana kuna rushwa mahali.Ndumbaro
This stupid fuckers, we fucking know that, we don't need anyone keep telling us our problems, give us solution, we know it's crazy among 61M people we managed to have only 7 athletes, we got nothing from Paris, our question to you minister, what have you been doing to improve our sports
 
Waziri mwenye dhamana na kiongozi wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Daktari Damas Ndumbaro anashangazwa na anasema ni aibu kwa Taifa lenye watu zaidi ya milioni 60 kupeleka wanamichezo 7 Olimpiki:

Sasa, sisi wananchi na yeye waziri nani anayetakiwa kushangaa au kusikitika? Huyu waziri Akili yake inafanya kazi kweli?

Kitu kikubwa alichokifanya kwa hao wanamichezo? Au kuwatembelea paris ufaransa ndo jambo lake kubwa?

Anafahamu ushiriki wa michezo ya olimpiki na maandalizi yake?

Huyu waziri ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri waliopita hapo.

Achunguzwe, inawezekana kuna rushwa mahali.Ndumbaro
Kwahiyo huyu kateuliwa kuwa waziri wa michezo aje kushangaa, Alitakiwa aliwe kichwa pamoja na ndugu yake wa Tanga mjini.
 
This stupid fuckers, we fucking know that, we don't need anyone keep telling us our problems, give us solution, we know it's crazy among 61M people we managed to have only 7 athletes, we got nothing from Paris, our question to you minister, what have you been doing to improve our sports
Hajui michezo huyo ndumbaruuu ...bora yule mwanamke sijui katibu wa BMT anaweza uwaziri
 
Kwahiyo huyu kateuliwa kuwa waziri wa michezo aje kushangaa, Alitakiwa aliwe kichwa pamoja na ndugu yake wa Tanga mjini.
Ndumbaru knows nothing ...bora wa tanga mjini amebase kwa sanaa na utamaduni...michezo waziri bado
 
Back
Top Bottom