Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Waziri Ndumbaro kwa nini huwapumzishi hawa wazee Filbert Bayi, Ghulam na Henry Tandau? wanaotafuna pesa za watanzania? Bayi anakula pesa za wanariadha , makocha na hata wanahabari ambao walitakiwa wapate scholarships mbalimbali, sasa toka afiki paris ufaransa ambapo alipelekwa na bayi yuko kimya tu. Je anamaslahi nae?
Viongozi wa Kamati ya olimpiki Tanzania na Olimpiki Afrika wameoza na wananuka rushwa.
Sasa waziri mwenye dhamana kwa nini yupo kimya? Amepewa malalamiko na wadau ofisini kwake kuhusu mwenendo mbaya wa TOC ila bado yupo kimya?
Soma Pia:
Je, nini kimejificha TOC?
Viongozi wa Kamati ya olimpiki Tanzania na Olimpiki Afrika wameoza na wananuka rushwa.
Sasa waziri mwenye dhamana kwa nini yupo kimya? Amepewa malalamiko na wadau ofisini kwake kuhusu mwenendo mbaya wa TOC ila bado yupo kimya?
Soma Pia:
- Ndumbaro ili ufanikiwe kwenye Riadha Vunja Kamati ya TOC na hawa Wazee Filbert Bayi, Henry Tandau na Ghulam Rashid waondoke madarakani
- Kwani Serikali inamuogopa Bayi na wenzake? Hatupati Medali Olimpiki kutokana na makandokando ya Viongozi wa juu wa TOC
Je, nini kimejificha TOC?