Near Death Experience (NDE), hubadilisha watu for good!

Near Death Experience (NDE), hubadilisha watu for good!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Ni ngumu sana kukuta mtu aliyewahi kupitia ,,near death experience” halafu maisha yake yasibadilike, watu wengi ambao hukaribia kufa au labda niseme hunusurika na kifo huwa ni wengine kabisa baada ya tukio, kwa mfano mtu akigongwa na gari na kupona huwa yuko tofauti na kabla ya tukio.

Sasa ukiona mtu amepitia ,,near death expereince” halafu yuko vile vile, yaani before and after hakuna kilichobadilika huwa kuna tatizo mahali, aidha kilichomtokea alikipanga au alikijua kabla mfano mwizi akishikwa na kuchomwa halafu akapona utashangaa anaendelea kuiba, ni kwa sababu alijua na alipanga, lkn kama ni jambo ambalo limemtokea tu bila ya kuwa na uelewa wowote wa kabla ya tukio, ni lazima akipona anatakuwa Binadamu mwingine kabisa, BTW nde ni science yake inayojitegemea, ...
 
Ina maana ile story ya Yohana iliyotikisa haikuwa fake news .................!!
 
Moshi wa wazee. Mabadiliko yapo,yanazidi kuja
 
Lile tukio walilipanga kusoma upepo!cha ajabu wakashangaa kwamba hadi sisimizi wanafurahia kifo cha jiwe!!!hadi leo wanaweweseka baada ya kujua kuwa hawapendwi hata kidogo!!!!!!!!MOSHI WA RUANGWA!!!
 
..Jiwe alipata ajali ya ndege lakini bado yuko vilevile.
 
Tundu Lisu kapigwa risasi zaidi ya kumi lakini bado yuko vile vile, itakuwa alipanga kujipiga risasi kutafuta umaarufu
 
Unamlenga nani? aliyenyweshwa sumu na kuzushiwa kifo? sizani kama jaribio la kifo linaweza kubadilisha ukaidi wa mtu mwenye kibri dawa ni yeye kufa moja kwa moja.
 
Tundu Lisu kapigwa risasi zaidi ya kumi lakini bado yuko vile vile, itakuwa alipanga kujipiga risasi kutafuta umaarufu

..mtoa hoja amekosea

..Jiwe kapata ajali ya helikopta.

..Jiwe akanyweshwa sumu.

..pamoja na hizo near death experiences hakubadilika.

..maana yake ni kwamba siyo kila anayepitia matukio hayo anabadilika kama anavyodai mtoa hoja.

..pia inawezekana kwa muonekano wa nje mhusika anaonekana hajabadilika, lakini kwa mtizamo wa ndani na kwa watu wake wa karibu huwa kuna mabadiliko.
 
Lile tukio walilipanga kusoma upepo!cha ajabu wakashangaa kwamba hadi sisimizi wanafurahia kifo cha jiwe!!!hadi leo wanaweweseka baada ya kujua kuwa hawapendwi hata kidogo!!!!!!!!MOSHI WA RUANGWA!!!

Mpaka jiwe anasema urais ni mgumu, alitegemea watu watasikitika kuhusu ile habari.
 
Back
Top Bottom