Nawashauri wale wanaotaka mageuzi ya kweli,dawa iliyobaki ni moja tu.Maana kwa nguvu hatunazo za kuwaondoa hawa jamaa,pesa hatuna,majini hatuna maana wao wanalindwa na majini.Dawa ni moja tu wanamageuzi tuingie nasi kwenye ulimwengu wa Roho tumwombe Mungu kupitia kwa Yesu tu,yote yatawezekana.Tuwape sapoti ya maombi hawa walio msitari wa mbele katika haya mapambano.