Wadau wa JF nimeikuta hii katika gazeti la mwananchi leo.
Makamu mwenyekiti wa Nec, Jaji Omar Makungu alisema kauli kwamba Dk Slaa hataingia Ikulu, inaumiza lakini ni juu ya Chadema na Dk Slaa kuamua kulalamika kama wataona imemwathiri.
Jaji Makungu alisema Nec imesikia kauli hiyo lakini haiwezi kuifanyia kazi mpaka kuwe na mlalamikaji.
"Sijalisoma hilo gazeti hilo lakini kauli hiyo inauma... inatakiwa walioumizwa walalamike. Wakikaa kimya, sisi hatuwezi kuchukua hatua. Kamati ya maadili ipo; Chadema au Dk Slaa akilalamika, tutawaita wanaolalamikiwa," alisema Jaji Makungu.
"Tupo tayari kupokea malalamiko. Tuna kamati ya maadili, wakicomplain (wakilalamika), tutajadili na kutolea uamuzi."
Ombi kwa uongozi wa Chadema ngazi ya taifa kuchukua ya haraka ili kuwaumbua hao mafisadi wa CCM. Msijali gharama mtakayotumia, wananchi na wapenzi wa Chadema tutachangia.
Muhimu ni kuwa tunaingia Ikulu mwaka huu ili ukombozi wa kweli umfikie mtanzani aliyekata tamaa.
Makamu mwenyekiti wa Nec, Jaji Omar Makungu alisema kauli kwamba Dk Slaa hataingia Ikulu, inaumiza lakini ni juu ya Chadema na Dk Slaa kuamua kulalamika kama wataona imemwathiri.
Jaji Makungu alisema Nec imesikia kauli hiyo lakini haiwezi kuifanyia kazi mpaka kuwe na mlalamikaji.
"Sijalisoma hilo gazeti hilo lakini kauli hiyo inauma... inatakiwa walioumizwa walalamike. Wakikaa kimya, sisi hatuwezi kuchukua hatua. Kamati ya maadili ipo; Chadema au Dk Slaa akilalamika, tutawaita wanaolalamikiwa," alisema Jaji Makungu.
"Tupo tayari kupokea malalamiko. Tuna kamati ya maadili, wakicomplain (wakilalamika), tutajadili na kutolea uamuzi."
Ombi kwa uongozi wa Chadema ngazi ya taifa kuchukua ya haraka ili kuwaumbua hao mafisadi wa CCM. Msijali gharama mtakayotumia, wananchi na wapenzi wa Chadema tutachangia.
Muhimu ni kuwa tunaingia Ikulu mwaka huu ili ukombozi wa kweli umfikie mtanzani aliyekata tamaa.