Makame and Kiravu, why dont you go and rest the job is too big for you Brazil wamepiga kura jana Matokeo tayari brazil ni kubwa kuliko Tanzania Area ya brazil ni 8,511,965 sq km wakati Tanzania ni 945,000 sq. km kitu gani kinawashinda ni nini mnataka kufanya ????? toeni matokeo msitufanye watanzania wajinga