Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Hivi Lipumba kweli anaamini kabisa atashinda? Wagombea wengine ni uchuro tu.
Lipumba ni aina ya wazee wa hovyo waliosalia kwenye ulingo wa siasaHajavinja sheria mwache tu
Na kashinda zote hizo!Maalim Seif Sharif Hamad
1995 - Yeye na Salmin Amour...
Kwenye mchezo wa ngumi kuna dude linaitwa punching bag...hili ni fuko la kujifunzia ngumi ...lipo tu , watu wanakuja wanajifunza kupigana kwa kulitandika magumi na mateke kisha wanaenda huko wanashinda wanachukua sifa maisha yanaendelea tuu...LENYEWE LIPO TUU...!!!Hivi ina maana wewe tu ndio unatosha kugombea Uraisi huko ndani ya CUF. Umegombea kama ifuatavyo
1995 - Wewe na Mkapa
2000- Wewe na mkapa
2005 - Wewe na Kikwete
2010 - Wewe na Kiwete
2015 - Hukugombea ulijiuzulu siasa
2020 - Unagombea tena na JPM
Je, this time around unahisi utakuwa Raisi wa JMT?
Katumwa huyo mkuuHivi ina maana wewe tu ndio unatosha kugombea Uraisi huko ndani ya CUF. Umegombea kama ifuatavyo
1995 - Wewe na Mkapa
2000- Wewe na mkapa
2005 - Wewe na Kikwete
2010 - Wewe na Kiwete
2015 - Hukugombea ulijiuzulu siasa
2020 - Unagombea tena na JPM
Je, this time around unahisi utakuwa Raisi wa JMT?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DahKwenye mchezo wa ngumi kuna dude linaitwa punching bag...hili ni fuko la kujifunzia ngumi ...lipo tu , watu wanakuja wanajifunza kupigana kwa kulitandika magumi na mateke kisha wanaenda huko wanashinda wanachukua sifa maisha yanaendelea tuu...LENYEWE LIPO TUU...!!!