Uchaguzi 2020 NEC ingefaa ichukue vijana wasio na ajira ndio wasimamie Uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC ingefaa ichukue vijana wasio na ajira ndio wasimamie Uchaguzi

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Wadau.

Nimeona Watumishi wa Serikali kwa asilimia kubwa ndiyo wasimamizi wa Uchuguzi Mkuu 2020. Hawa tayari wana ajira na juzi tu wamepata mshahara.

Kwa nini vijana walio mtaani (graduates) wasingepewa hili jukumu la kusimamia uchaguzi huu mkuu? Maana wapo tu mtaani hawana maisha.

Wazo tu.
 
Piga kura Linda kura ukienda home utajuaje matokeo Hali hakuna internet
Kura za mapema znz hio lundo la kura zikitumbukizwa
 

Attachments

  • Screenshot_20201027_215304.jpg
    Screenshot_20201027_215304.jpg
    51.9 KB · Views: 1
Wadau.

Nimeona watumishi wa serikali kwa asilimia kubwa ndiyo wasimamizi wa uchuguzi mkuu 2020. Hawa tayari wana ajira na juzi tu wamepata mshahara.

Kwa nini vijana walio mtaani (graduates) wasingepewa hili jukumu la kusimamia uchaguzi huu mkuu? Maana wapo tu mtaani hawana maisha.

Wazo tu.
Hawa akina Mrangi!!
 
Acha ikae hivi hivi ili graduates hasira zipande zaidi halafu kesho wafanye maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom