Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Nimemsikiliza Katibu ya Tume ya Uchaguzi NEC Mr. Kawishe akihojiwa na Channel 10.
Huyu jamaa anazijua Sheria za NEC na moja ya sheria hizo ni kutumia lugha ya Kiswahili kama official language kwene Kampeni na mtu akitumia lugha zingine kama KABILA FULANI anakuwa amekiuka Maadili na anatakiwa awajibishwe.
Wakati mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Kanda ya Ziwa alitumia lugha ya Kisukuma, Kihaya, Kikurya n.k. kwenye majimbo yenye makabila husika!!
Swali ni Je, Tume ya Kawishe haikumsikia mgombea akibonga kilugha na ilimchukulia hatua gani?
Huyu jamaa anazijua Sheria za NEC na moja ya sheria hizo ni kutumia lugha ya Kiswahili kama official language kwene Kampeni na mtu akitumia lugha zingine kama KABILA FULANI anakuwa amekiuka Maadili na anatakiwa awajibishwe.
Wakati mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Kanda ya Ziwa alitumia lugha ya Kisukuma, Kihaya, Kikurya n.k. kwenye majimbo yenye makabila husika!!
Swali ni Je, Tume ya Kawishe haikumsikia mgombea akibonga kilugha na ilimchukulia hatua gani?