Uchaguzi 2020 NEC: Mawaziri, RC, DC na Viongozi wa Serikali hawaruhusiwi kuingia vituoni

Uchaguzi 2020 NEC: Mawaziri, RC, DC na Viongozi wa Serikali hawaruhusiwi kuingia vituoni

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
 
Vp matumizi yasim kwa hao watakaosimamamia Mimi nafikiri sim zao zionganishwe nawagombea husika
 
Wakurugenzi na watendaji kata je hao wapo kundi gani mbona hajawakataza na hao?
 
Tume pangeni mbinu za kijinga tu,yaani mnafanya hivyo tuone mpo imara,hatuangalii nani kaingia nani katoka tunahitaji kuona vifaa vya kituo vyote vinafika kwa wakati ,upigaji kura na uhisabu unakuwa wawazi ,uhakika wa kuwepo kwa mawakala wote hatutaki kusikia ,ala katekwa,wakala hajafika na zaidi hatutaki kusikia malalamiko jina langu au lake halipo kwenye kituo au kumwambia mpiga kura jina lako lipo kituo kilee cha kulee. Kinyume cha hayo ni kuanzisha viashiria na kuamsha fujo.
 
Kwakweli mwaka sitaki ujinga kabisa. Wanasema bora uishi miaka thelathini lakini uache legacy kuliko kuishi miaka sitini unakufa Kama kuku. This time around nipo nayali ata kujilipua Ila kura ya Lissu nitailindq kabisa.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.

Kupiga simu nako ili kutoa maelekezo kwa wakurugenzi wao kwamba wamtangaze nani nako hawaruhusiwi?
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.

sio vituo tu, hawapaswi hata kuhsiriki chaguzi japo wanajifaya ni wenyekiti wa CCM mikoa na wilaya.
 
Tume pangeni mbinu za kijinga tu,yaani mnafanya hivyo tuone mpo imara,hatuangalii nani kaingia nani katoka tunahitaji kuona vifaa vya kituo vyote vinafika kwa wakati ,upigaji kura na uhisabu unakuwa wawazi ,uhakika wa kuwepo kwa mawakala wote hatutaki kusikia ,ala katekwa,wakala hajafika na zaidi hatutaki kusikia malalamiko jina langu au lake halipo kwenye kituo au kumwambia mpiga kura jina lako lipo kituo kilee cha kulee. Kinyume cha hayo ni kuanzisha viashiria na kuamsha fujo.
Hamna ubavu wa kuleta fujo,acheni kuwa weka watanzania roho juu,tutawapiga kwenye sanduku la kura na mkiandamana tunwatwanga,

Ova
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
Sisi Chadema hatukubaliani na hili na tunataka Tume watupatie majibu ndani ya saa 24 ni kwanini RC na DC wasishuhudie upigaji kura. Vinginevyo wasipowaruhusu kuingia vituoni hatutapiga kura kwani hii ni mbinu ya kutaka kutuibia kura
 
Chadema wataandamana
Wala hatuandamani ,ikiwa DC au RC ataingia na kutumia mamlaka yake vibaya ndani ya kituo cha uchaguzi...huyu tunamzalisha watoto mapacha wala hatuangalii jinsia yake.

Tuombe Mungu hilo lisitokee maana tunakubali kupokea lawama zote ikibidi
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
Hata wasipoingia si watatoa maelekezo kwa njia ya simu, tofauti nini?
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.

Kuna tofauti Kubwa mno kati ya NEC kusema haya na hali halisi 'on the ground' kutokana na 'Uzoefu' uliopo. Wataingia na hawatofanywa lolote lile.
 
Back
Top Bottom