Wameshaweka watu wao mbadala wa madc na marc. Ni hatua nzuri lakini Bado NEC hawaminiki sanaTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
NEC wanataka tu UN iwasikie wakati UN wenyewe wanangalia matendo tu.Kuna tofauti Kubwa mno kati ya NEC kusema haya na hali halisi 'on the ground' kutokana na 'Uzoefu' uliopo. Wataingia na hawatofanywa lolote lile.
NEC wanataka tu UN iwasikie wakati UN wenyewe wanangalia matendo tu.
Atakufa mtuWataingia na watatoa maamuzi yakijinga we ngoja tu utaona!
Gentamycine unanipoteza hebu fafanua hizo neumonics. Si unajua we ni akili kubwa!Ninchokijua tu ni kwamba kuna tofauti ndogo sana ( Kiduchu ) ya 'Kimahusiano' katika ya CEN na MCC au MCC na CEN katika nchi hii ya Tanzania.
Tunakula mtu kichwa wakifa watu10 na mmoja RC sio mbaya.Atakufa mtu
Gentamycine unanipoteza hebu fafanua hizo neumonics. Si unajua we ni akili kubwa!
Wewe si miongozi mwa yale makabila matatu ya wenye IQ kubwa Afrika?? yaani Watutsi, wazanaki na......Katika wenye 'Akili Kubwa' nami utaniweka Mkuu? Mimi ni 'Popoma' tu na nitabaki na huu huu 'Upopoma' wangu ambao 'Umenitukuka' ile mbaya.
Wakurugenzi na watendaji kata je hao wapo kundi gani mbona hajawakataza na hao?
Wawarudishe wagimbea wetu kwanza. Mengine ndio yafate.Hongera Tume kwa maelekezo hayo. Halafu bado Kuna wajinga wachache wanaona Tume haifanyi kazi
Wewe si miongozi mwa yale makabila matatu ya wenye IQ kubwa Afrika?? yaani Watutsi, wazanaki na......
😂😂masihara sasa haya.Kwani hakuna Watutsi na Wazanaki 'Mapopoma' Mkuu? Kama wapo basi jua Mimi ni 'miongoni' mwao na 'ninajivunia' kweli tu kuwa 'Popoma' hivi.
Kwa hiyo mkurugenzi anatuamjia tukiwaona kwenye vituo vya kura na tukajiridhisha kwamba walishapiga kura tuwashambulie?Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
Bange zinakusumbuaSisi Chadema hatukubaliani na hili na tunataka Tume watupatie majibu ndani ya saa 24 ni kwanini RC na DC wasishuhudie upigaji kura. Vinginevyo wasipowaruhusu kuingia vituoni hatutapiga kura kwani hii ni mbinu ya kutaka kutuibia kura
Hamna ubavu wa kuleta fujo,acheni kuwa weka watanzania roho juu,tutawapiga kwenye sanduku la kura na mkiandamana tunwatwanga,
Ova
Utakuta anaesema tutawatwanga ni kambwa koko Frank getini.hakajui hata SMG tz inainunua kwa dolls ngapi.mshahara kima cha chini kabisa kama lakiv3 hiviHiyo zamani dada
Katika wenye 'Akili Kubwa' nami utaniweka Mkuu? Mimi ni 'Popoma' tu na nitabaki na huu huu 'Upopoma' wangu ambao 'Umenitukuka' ile mbaya.
Kwani hakuna Watutsi na Wazanaki 'Mapopoma' Mkuu? Kama wapo basi jua Mimi ni 'miongoni' mwao na 'ninajivunia' kweli tu kuwa 'Popoma' hivi.