Nec Resolution Dodoma...

mwanatanu

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2008
Posts
851
Reaction score
127
Wananchi wengi walikuwa wakisubiri kwa hamu nini kitaamuliwa huko kwenye kikao cha NEC.......Sasa nawaleteeni kwa mtizamo wangu nini haswa kilipangwa huko.....

(a)Mkapa asafishwe



(b)Msafisheni Lowassa na Karamagi


(c)Zimisha EPA na RICMONDULI na kwa kiburi


Bado tumangojea Madini,Kiwira...nk... yote yanayokuja majibu yatakuwa mafupi na yaliyojaa kiburi......waswahili walishamaliza maneno, walisema MBUZI WA MASIKINI HAZAI PACHA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…