Elections 2010 NEC VS Wananchi: Oktoba 2010

Gurtu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2010
Posts
1,248
Reaction score
342
Oktoba 31, 2010 kulifayika uchaguzi Tanzania. Matokeo ya uchaguzi yametoa yafuatayo:
1. Matokeo ya kura za wananchi dhidi ya kura za NEC.
2. Wagombea waliochaguliwa na Wananchi na wagombea waliochaguliwa na NEC.

Matokeo ya hayo yote ni mshangao wa kile kilichokuwa`kikitangazwa`na`NEC na katika maeneo mengine wananchi waliwashinikiza`Wasimamizi wa NEC kutangaza matokeo ya kura zao siyo zile za NEC
 
Was it the first time for NEC kuchakachua, au mliingia kwenye uchaguzi mkijua NEC ni fair? people have been crying for ages in almost all past multparty elections! leo unalalamika NEC what an historical shame on us??

wewe msikie Slaa na team yake mpaka mtakapokuja kujua hawa ni maslahi mbele ndiyo mtajua kuwa kumbe hatuna na tulikuwa hatuna wapinzani! leo wanasema watadai tume huru ya uchaguzi, poor Tanzanians! wasted effort again in 2010!!!
 

Wizi wa kura uliofanywa na NEC ni suala zito mno. Ina maana JK na wabunge wengi wa CCM hawakuchaguliwa na wananchi. Hii ni kinyume cha katiba ambayo iko wazi kuwa madaraka yote katika nchi yetu msingi wake ni wananchi. Walichofanya NEC , JK na CCM ni Udikiteta au kupindua serikali ambayo wapiga kura wameichangua. Wananchi hatunabudi kuendelea kuwakataa waziwazi wezi wa kura zetu na kurudisha madaraka ya nchi mikononi mwa wananchi siyo NEC, CCM wala JK.
 
Ni wageni tu watakaoshangaa comments zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…