Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Tume ya uchaguzi imeondoa taarifa kuhusu namna ya kupiga kura na kuhesabu kura kwenye mtandao wao www.nec.go.tz .
Hii ni makusudi kuwanyima wanachi taarifa hizo kwani taarifa nyingine zipo. Taarifa hizi zitakuwa zimechakachuliwa kwenye ‘mwongozo wa kupiga kura' mfano, baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kukaa mita 200 kutoka kwenye kituo cha kupigia kura lakini kwenye mwongozo uliosambazwa NEC inawataka wapiga kura waende nyumbani baada ya kupiga kura.
Hivi ni makusudi au ni kosa la kiufundi?
Hii ni makusudi kuwanyima wanachi taarifa hizo kwani taarifa nyingine zipo. Taarifa hizi zitakuwa zimechakachuliwa kwenye ‘mwongozo wa kupiga kura' mfano, baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kukaa mita 200 kutoka kwenye kituo cha kupigia kura lakini kwenye mwongozo uliosambazwa NEC inawataka wapiga kura waende nyumbani baada ya kupiga kura.
Hivi ni makusudi au ni kosa la kiufundi?