Ushauri wangu vyama vya upinzani viibane NEC irudishe haki ya wapigakura kusimamia haki mita 200 kutoka kwenye kituo ili kuzuia mashushu ambao ndiyo wachakachuaji wakuu kuvuruga haki isitendeke.Taarifa hizi zitakuwa zimechakachuliwa kwenye ‘mwongozo wa kupiga kura' mfano, baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kukaa mita 200 kutoka kwenye kituo cha kupigia kura lakini kwenye mwongozo uliosambazwa NEC inawataka wapiga kura waende nyumbani baada ya kupiga kura. ?