Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa bumbuli kuna tetesi amerejeshwa!Vp kwa upande wa ubunge?
bado Majaliwa na Nape , watalimia meno safari hii , ujanja ujanja wa kishamba baaasiiiWa bumbuli kuna tetesi amerejeshwa!
bado Majaliwa na Nape , watalimia meno safari hii , ujanja ujanja wa kishamba baaasiii
Tumpongeze Sana Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kuwateua Wajumbe bora Sana waliounda Tume hii ya Uchaguzi safari hii !Nawaomba Sana Watanzania wote kwa pamoja tuipongeze Sana , Sana Tume hii ya Uchaguzi ! Nina imani kubwa Sana na Mheshimiwa Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Tume Dr Mahera ! MUNGU awabariki Sana Wajumbe wote wa Tume .
Kaly 'empariTumpongeze Sana Mheshimiwa Rais
Tumpongeze Sana Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kuwateua Wajumbe bora Sana waliounda Tume hii ya Uchaguzi safari hii !
Hizo ni kidogo bado kama 800 hivi. NEC waachr uhuni warudishw wagombea wote. Na watawarudisha tu.
Baada ya Mkwara wa AmsterdamTumpongeze Sana Mheshimiwa Rais
Tumpongeze Sana Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kuwateua Wajumbe bora Sana waliounda Tume hii ya Uchaguzi safari hii !
Tutampongeza Mh Lissu aliyetuonesha Ujasiri wa kutosha na kwamba kumbe inawezekana bwana.Nawaomba Sana Watanzania wote kwa pamoja tuipongeze Sana , Sana Tume hii ya Uchaguzi ! Nina imani kubwa Sana na Mheshimiwa Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Tume Dr Mahera ! MUNGU awabariki Sana Wajumbe wote wa Tume .
Hakuna wakati tume imeshindwa kufanya kazi zake kwa weledi. Ni mihemuko ya wapinzani walikuwa hawatati kufuata taratibu za kisheria kama walivyofanya safari hii. "USIPO RIDHIKA NA MAAMUZI ya ngazi ya chini Unakata RUFAA" badala yake walikuwa wanaweka mpira kwapani.Tumpongeze Sana Mheshimiwa Rais
Tumpongeze Sana Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kuwateua Wajumbe bora Sana waliounda Tume hii ya Uchaguzi safari hii !
Walikuwa wanajaribu. Huyu ni Lissu bwana hajawahi kushindwa. Historia imemuonesha hivyoNEC kuna kitu wana test, Ila wakati huu hakutakuwepo na rehearsal ni performance tu.
Tume bwana eti Mgombea anaporwa fomu mbele ya ofsi za NEC na wanakaa kimya. Huu uhuni mwisho ni 2020. Na watawarudisha tu watake wasitake.Hakuna wakati tume imeshindwa kufanya kazi zake kwa weledi. Ni mihemuko ya wapinzani walikuwa hawatati kufuata taratibu za kisheria kama walivyofanya safari hii. "USIPO RIDHIKA NA MAAMUZI ya ngazi ya chini Unakata RUFAA" badala yake walikuwa wanaweka mpira kwapani.
Watashindwa tuWanatupotezea mud wa kampeni pumbavu kabisa.
Hata siwashangai, binafsi nilimchukulia Lissu poa lakini nakiri kutokujua ni ujinga...nimebaki kumwomba Mungu November ifike tuanze upya.Walikuwa wanajaribu. Huyu ni Lissu bwana hajawahi kushindwa. Historia imemuonesha hivyo
Lissu nimemkubali toka mwaka 2010. MEe ilichelewa sana. Lakini bado unaweza kuwa kama yeye ukiamua. Ujasiri una gharama zake lakini mara nyingi 80% una multiple benefitsHata siwashangai, binafsi nilimchukulia Lissu poa lakini nakiri kutokujua ni ujinga...nimebaki kumwomba Mungu November ifike tuanze upya.
Bado ipo kazi ya kufanya na jukumu lipo mikononi mwao matarajio yetu ni kuona haki ikitendeka kikamilifu.Tutampongeza Mh Lissu aliyetuonesha Ujasiri wa kutosha na kwamba kumbe inawezekana bwana.