johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tume ya Uchaguzi leo imewaapisha mawakala watakaosimamia zoezi la kuhesabu kura za wagombea Urais.
Katika zoezi hilo wakala wa ACT Wazalendo hakuwepo ukumbini na ikaelezwa baadae kuwa ACT Wazalendo haina Wakala.
Chanzo: ITV Habari
Maendeleo hayana vyama!
Katika zoezi hilo wakala wa ACT Wazalendo hakuwepo ukumbini na ikaelezwa baadae kuwa ACT Wazalendo haina Wakala.
Chanzo: ITV Habari
Maendeleo hayana vyama!