beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
John Shibuda anayewania nafasi ya Urais na Mgombea Mwenza Hassan Kijogoo wamerejesha fomu katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zilizopo Jijini Dodoma.
Baada ya kujiridhisha, Tume ya Taifa imewateua wagombea hao kuwania nafasi ya Urais na Makamu wa Rais wa Tanzania baada ya kutimiza masharti.
Baada ya kujiridhisha, Tume ya Taifa imewateua wagombea hao kuwania nafasi ya Urais na Makamu wa Rais wa Tanzania baada ya kutimiza masharti.